Recent content by mdogo mtu

  1. M

    Mwanachuo SJUT (Dodoma) abakwa na kukutwa na umauti

    jaman bora 2we na utawala wa sharia ili hawa wauwaji wauwawe
  2. M

    Ving'amuzi vya StarTimes ni takataka

    yaan bandugu 2shalizwa tayar! ila ndoo kawaida ye2 wabongo kulizwa!
  3. M

    Vuguvugu la gas Mtwara,maaskofu wako upande gani?

    bora hata wasitoe maana huwa wana2poteza sana, walisema kikwete ni chaguo la mungu, wakasema babu anatibu ukimwi loliondo na walicho nishangaza zaid eti selkal ina 90% waislam! kitu ambacho ni uongo wa dhahir.
  4. M

    Tamko la Shura ya Maimam mkoa wa Mtwara kuhusu sakata la gesi asilia

    nyie mnaosema kuna wa2 wamewaandikia plz 2weken waz ni akina nani hao?
  5. M

    Dr. Slaa aongea na wanafunzi katika Kongamano la wanavyuo

    kwel m2 kusoma hujui hata kuona picha? yaani m2 kama kadirik kumuasi mungu ake itakuwaje kwa binadam mwenzake! alafu kaasi familia! dah mie sidanganyiki ngoo
  6. M

    Ipo siku Ustaadhi Ilunga atasababisha damu imwagike nchini!

    tukutuku hawa unawaita magaid kwa kuwa wanatetea haki za wanyonge? lakini sikushangai maana historia inaonyesha mandela aliitwa gaid na wazungu kisa alikuwa anatetea haki, na bwana yesu walitaka kumuua kwa sababu alisema kwel. wewe utawachukia lakin sie 2nawaombea kwa Rahman
  7. M

    Ipo siku Ustaadhi Ilunga atasababisha damu imwagike nchini!

    jarbu kuchunguza sector zote alafu unimbie wapi wanaongoza kuwa weng kati ya makafir na waislam?
  8. M

    Mkutano wa CUF kuhusu gesi wafana Mtwara

    masikin we hujui! sema2 unachuki dhidi ya uislam. utauchukia uislam mpaka unakufa na motoni utaenda lakin uislam utaendelea kuwepo na kushamil labda ALLAH akuongoze uione haki na kuufuata uislam
  9. M

    Ipo siku Ustaadhi Ilunga atasababisha damu imwagike nchini!

    aaa kumbe zinazungumzia mfumo kristo! kwan we hujui kuwa kuna mfumo kristo tz?!
  10. M

    Ipo siku Ustaadhi Ilunga atasababisha damu imwagike nchini!

    kwel selikal ihakikishe udin unaisha kwa kuondoa ubaguzi na upendeleo kwa dini moja la sivyo ...
  11. M

    Ipo siku Ustaadhi Ilunga atasababisha damu imwagike nchini!

    naona wagala mnalaumu tu hamtuambii cd zake zinazungumzia ki2 gan ebu 2wekeni wazi
  12. M

    Redio imaan: Tunayo barua ya peter msigwa kwenda kwa maaskofu kuwadhibiti waislam wa iringa

    hawa magara unadhan ni wengi wenye elimu ba2! ni wachache2 pengine 2po ngoma dro kielimu sema wana2mia hii propaganda kuwa wao ndoo wamesoma ili wawadhulumu waislam ukitaka kulijua hil nenda vijijini ambapo wanadai ndoo kuna wakristo weng yaan utacheka
  13. M

    Redio imaan: Tunayo barua ya peter msigwa kwenda kwa maaskofu kuwadhibiti waislam wa iringa

    sasa speed unashangaa m2 kuadhibiwa au unashangaa mavazi ya wanao adhibu? sija kusoma!
  14. M

    Redio imaan: Tunayo barua ya peter msigwa kwenda kwa maaskofu kuwadhibiti waislam wa iringa

    nimeamin r.iman inasikilizwa na jamii ya wa tz wote hata wewe unaye ipinga.kiukwel wanajadil mambo kwa undani wake tena kwa ushahd kwa kuwa mmezoea kusikilza vyombo vya hbr ambavyo vinakurupuka kutoa hbr bila uchunguz ndoo maana unaidis.hii radio ime2fungua macho na itaendelea kudumu kwa uwezo...
  15. M

    Wachina wamiminika nchini, kulikoni? Immigration wanatoa vibali kiholela?

    mardsh udini unakusumbua masikin sasa mambo ya kumswalia mtume yamekuja je
Back
Top Bottom