Uchaguzi hauko mbali. Mazingira mazuri ya kuomba/Kukopa fedha za uchaguzi ndo yanaandaliwa. Naomba kabla ya kuhukumu, tujiulize maswali kidogo:
1. Huyo balozi mdogo ni Mtanzania?
2. Kama ni Mtanzania, Elimu yake ina kidhi vigezo na Masharti ya nafasi husika?
3. Uchaguzi/Uteuzi wake umefanywa na...
Na hili ndilo ambalo silitaki. Unamsamehe mtu ila kichwani unajua kabisa alishasema mimi ni sadaka, hanihitaji tena. Kitu ambacho sijui ni kweli au sio kweli.
Mimi ni Kijana wa miaka 30. Nimezaliwa katika familia masikini, mkoani Kilimanjaro. Nimeanza kujitambua nikiwa na umri wa miaka mitano nikiwa mikononi mwa bibi wa mama yangu. Sikujua ni kwanini niliishi na bibi wa Mama lakini Baada ya muda, Mama alikuja kunichukua na Nikaenda kuishi nae wilaya...
Wanawake bhana. Kwani akiwapisha chumbani wakafanya yao, shuka unakuja kufua wewe? au unamuonea huruma bf kua kalala sebuleni? Ukienda kulala guest house, vyumba hivyo havijawahi kutumiwa na couples wengine kwa issue hiyo hiyo? Mimi sioni kama ni big deal endapo mgeni atazifua shuka baada ya match.
Dah! Pole sana kaka. Huyo mkeo mbona kama mshirikina flani vile!? Anyways, kumuacha sio too late, ila angalia mustakabali wa watoto kwanza. Huna haja ya kuishi stressful life while life is too short. Kuishi kwako isiwe adhabu kwako. No matter how far you have gone down the wrong way.....TURN BACK.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.