Matukio ya Jana katika Picha

Matukio ya Jana katika Picha

Bado watu wajinga wanakanusha eti CCM haihusiki wakati hadi sare (MAGAMBA) yenu yanaonekana
 
Makonda alikodi vijana 23, kikao kilifanyika Serena hotel, na walilipwa tsh elfu 50,000 kwa kila Moja. Bubenea.
 
Mkuu unafikir Nyerere angekuwepo leo asingeongea juu ya miiko ya uongozi? Asingesemea taifa alilokalijenga na leo jins linavyopotea?

Mbona hujauliza kingunge alienda kufanya nn bungen?

katiba inajenga kizazi cha sasa na kijacho hivo ni wajibu wake kuwatengenezea njia wajukuu na vilembwe vyake, na wananchi wengine kama ww na wanak ili wasinyanyasike katika taifa lao……!!
kwa kizazi hiki hakuna anayemuelewa,na tusitake kumtumia kiasi cha kuja kupigwa mitama majukwaani.
 
wazaz wako wangepumzka kukulea ungeish maisha gn jombaaa.. Ktk maisha hkuna kitu kinaitwa kupumzka.
Wazazi wangu walipumzika siasa siku nyiingi sana.
wanasiasa wanaotakiwa kuchapwa ni kama Kina lowassa,Chenge,Makamba,kingunge.wanamwonea tu huyu mzee mzalendo.
 
Mkuu unafikir Nyerere angekuwepo leo asingeongea juu ya miiko ya uongozi? Asingesemea taifa alilokalijenga na leo jins linavyopotea?

Mbona hujauliza kingunge alienda kufanya nn bungen?

katiba inajenga kizazi cha sasa na kijacho hivo ni wajibu wake kuwatengenezea njia wajukuu na vilembwe vyake, na wananchi wengine kama ww na wanak ili wasinyanyasike katika taifa lao……!!

Kwahiyo warioba ni Baba mdogo wa taifa?
 
Kuna 'jamaa' amenukuliwa akisema bila aibu kabisa kuwa......

"... Naomba yasinikute yaliyomkuta Warioba..."
 
Leo vijana wanapewa elfu kumi wampige jaji warioba na kumdhalilisha.kesho wakipewa milioni kumi watafanya nini?
 
warioba hii serikali ya ccm ni mafia,tulia tu nyumbani upumzike na wajukuu zako,ukujifanya mzalendo utakufa siku si zako
 
Mbinu chafu hata kwenye katiba? kweli CCM wamefika ukomo wa kufikiri. Uzalendo kwa vijana wa uvccm hakuna kabisa.
 
10710859_10203166907557451_6904993541696158628_n.jpg

Mabango yaliandikwa na mtu mmoja anaitwa makonda tizamwa mwandiko unavyofanana kwa kila bango, hivyo ule mpango wa pale serena unajithibitisha kabisa.
 
Nasikitika na kuhuzunika yaani anatoa nasaha tu hali ndo hii ya doli machoni jee siku ikifika ya kutoa maaoni itakuwaje
 
Back
Top Bottom