unahisi tutavuna nn mkuu?? ukweli ubaki kuwa ukweli mkitenda mema mtasifiwa ila mkitenda mabaya mtaambiwa tuu hata kama inawauma mbona mkisifiwa hamkatai?
Hizo ni dalili njema kwa chadema kwenda ikulu, mtahonga watu kumi kwa 150 bilioni zenu ila mwaka huu lazima mchomoke tuuu kila mbinu yenu inafeli mmebaki na bunduki moja tu amabyo mnapanga kuinunua tena baada ya hapo mnakaaa
Mkuu hii ni oil safi ila mashine ndio ilikuwa mbovu oil ikavuja wajanja wakaikinga wakaweka kwenye mshine nzima sasa mashine inakwenda kasi vibaya mnoo ndio maana wamilki wa oil wa zamani wanaweweseka.:peace:
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.