Kama kichwa kinavyojieleza hapo, mimi kijana mwenye elimu ya kidato cha nne. Naomba mnisaidie mtu yoyote mwenye uhitaji wa kufanyiwa kazi kama vile:
1. Kunituma kutoka sehemu 1 hadi nyengine kupeleka bidhaa au kununua.
2. Ulinzi wa eneo lake la kazi.
3, Usafi wa magari
4. Kuuza duka, nipo...
hizo fedha zinaishia mifukoni ujue. fanya tasmini kwa siku 1 tu wanakusanya tozo za miamala kwa watu milioni 2 na zaidi, kwa shilingi 100 mtu mmoja mmoja hii ela ya chini kabisa kuna wanaokatwa zaidi ya hiyo wakifanya muamala.kwa mwezi unadhani inakusanywa shingapi yaaani kama viongozi wetu...
lakini eneo la tukio si tunaambiwa la kiusalama zaidi.mapolisi wapo kibao pale wnalinda.mbele kidogo kuna ofisi ya usalama wa taifa kama sikosei halaf si kuna nyumba za maafisa wastaafu jirani na hapo hilo eneo ulinzi wake si wa kitoto ingekuwa nchi ingine isingechukua dakika nyingi wangemkamata...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.