Recent content by mdhama

  1. M

    USHUHUDA: Nilinyang'anya binti aliezalishwa kwa mwanaume na sasa she is among the best students

    Hii haijatokea hewani, serikali yenyewe ilishaanza mchakato wa re entry policy, penda kujielimisha kabla ya kukurupuka!
  2. M

    Nahitaji ushauri wako kuhusu saratani ya damu

    Pole sana ndugu. Nipo hospitali moja hapa India, kuna mama kutoka Kenya anatibiwa cancer ya damu kwa kufanya born marrow transplant,alivyonieleza ni kwamba wanaua cell za cancer halafu baada ya muda ndio wanaweka born marrow toka kwa donor, mtu mnayematch. Gharama zao ni kubwa,kiasi. Kama...
  3. M

    Msaada namna ya kupata visa ya Australia

    Dear Jf members, poleni na majukumu. Tafadhali, naomba msaada namna ya kupata visa ya Australia. Nasikia hapa nchini hamna ubalozi na visa ni mpaka Afrika Kusini. Tafadhali yeyote anayefahamu anisaidi. Utaratibu unakuaje? Asanteni.
  4. M

    kweli huyu mtu anamapenzi ya dhati

    Sijaelewa kwa kweli! !!!
  5. M

    Hali tete Central Police Dar; wafuasi wa Sheikh Ponda waanzisha purukushani!

    Ama kweli Mchelea mwana kulia atalia mwenyewe!
  6. M

    Hii Imekaaje?

    Hope mlikua na siku njema ya "Wapendanao". Jamani, hivi hii imekaaje? Mpo mabinti wa tupu mmeamua kutoka na kwenda ku barizi either bar au kwenye restaurant. Mmeagiza vinywaji vyenu na mnaendelea na starehe zenu, mara anakuja mhudumu na vinywaji akidai ameagizwa alete kutoka meza flani...
  7. M

    Visa ya Indonesia

    Asante sana mdau, be blessed, ntakwenda kesho!
  8. M

    Visa ya Indonesia

    Habari wanajamvi, natumai wote wazima. Naomba kama mtu ana fahamu namna ntakavyoweza kupata visa ya Indonesia, nimejaribu kucheki kwenye mtandao wanasema hawana embassy in Tanzania, so nitafute nearest embassy nchi nyingine. Kuna information nyingine pia zanaonyesha kwamba embassy ipo karibu na...
  9. M

    Nahitaji ushauri wenu zaidi juu ya hili - Kama ni ndoa basi imejibu

    Natamani ungetueleza japo kwa undali jinsi ilivyokua lol!
  10. M

    Nimenuniwa kisa nimejiita Bachela mbele yake!!!!

    Duh? pole mkuu kwa yaliokukuta. Ila statement kama hiyo na kwa mazingira ambayo umeitoa inaumiza flani! Hata mimi ingeniuma, ningeona hunithamini na sina mchango wowote kwako! Katika mazingira kama hayo ingebidi umtetee kwa nguvu zaidi mpenzi wako ili kihere here kimuishe huyo alopewa lift...
  11. M

    Magodoro Dodoma

    Heri ya mwaka mpya wadau! Ninashida ya kufahamu bei ya dogoro la dodoma 5X6 kwa wale walonunua siku za karibuni. Ahsanteni
  12. M

    Wanaume wote wa JF someni hii,mmoja wenu ndo kafanya haya

    Mmm! Wadau its like michango mingi inalenga kumponda huyu dada just because she drive! tatizo ni kwamba mume anamnyanyasa, na sidhani kwamba issue ni mafuta au hilo gari, inawezekana she is a victim na ananyanyaswa kwa mengi! If you a real man, huwezi muacha mkeo ame stuck hana mafuta and you...
  13. M

    Crib la Profesa JAY na mikoko ya kufa mtu

    Hongera bro, angalau una pa kuweka ubavu though wananchi walitegemea makubwa zaidi ya haya, time will tell!
Back
Top Bottom