Moja ya Matatizo makubwa ya wa Protestant ni kuwashawishi waumini wao wa amini wanachokihubiri kwa kutumia reference ya mafindisho Catholic, ili waichukie iman hiyo. Hata hapa huenda swali limeulizwa ili kila likjibiwa ulipinge ili ku justify uprotestant.
Kwa ushauri, ukienda pale vatcan km...
Habarini wanajamii..
Mimi ni mkristo wa moja ya madhebu ya kikristo, huwa napenda kuheshimu kila imani ya mtu, hata kama haamini vile namini. Kilichonifanya kuja hapa; ni mashambulizi ya kihasira ya mda mrefu ambayo madhehebu mengine yanafanya dhidi ya hili dhehebu la kakatoliki au RC kama...
Sioni shida juu ya hilo hasa ukilinganisha value ya usingizi na value created kwa wauzaji kuingia ndani ya gari.
Personally huwa nafurahia kile kitendo na huwa najisikia vibaya nisiponunua. Mosi, Wale vijana wameji ajiri, na mhimu zaidi wana impact waioko nyuma yake kuna wamenyaji, wachukuzi...
Mkuu, kiuhalisia kabisa bila ushabiki kiswahili hakitupeleki popote. Nchi yetu bado ni tegemezi, tunategemea kutumia tafiti zote za kiteknolojia, kisayansi nk. zilizofanyika na nchi nyingine. Sisi bado wachanga mmno ktk dunia hii hatujielewi. Ukitofautisha na nchi nyingine zilizojiwekeza kwenye...
Huyu bwana, kila nipitapo madaraja Tazara, Tanzanite, ubungo, busis, na kila nionapo au kusikia SGR, air tanzania, bwawa la JK etc naishiaga kujisemea R.I.P the giant Magufuli
Mkulima siku zote ni wa kuumia tu. Anaingiza ghalama shambani, akivuna anaambiwa tumefunga mipaka.
Kuna system moja ya madalali huwa si ielewi na hawa watu hawalipi kodi wala nini. Mkulima akithubutu kupeleka mazao yake sokoni bila kupitia madalali anafanyiwa advertise moja matata hadi mtaji...
Wanajukwaa salaam!
Kilicho nisukuma kuandika uzi huu ni baada ya kushuhudia vijana wengi wakikata tamaa na kujutia maamuzi yao ya kujiendeleza kielimu kwa kukosa haki za kuajiriwa serikalini.
Kama tujuavyo, nafasi za kazi zote za serikali hutangazwa na huombwa kupitia mfumo wa sekretarieti ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.