Daa hii kali sana yaani jamaa wana leseni na wana uzoefu wa kutosha hivyo hawachagui gari la kuendesha. Daa kali kweli kweli ila play safe magari mengine hayana brake.
Hujakosea kabisa mkuu huyu spika hatendi haki bungeni hata kidogo, ila akae mkao wa kula chadema si mchezo hao jamaa wamejipanga kwelikweli, sidhani kama atamaliza muda wa uspika kwa jinsi wanavyompelekesha nina mashaka ataachia ngazi mapema
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.