Tatizo ni chadma au wapga debe. uliepost uzi huu yamkin hujui ulichosema. zoez gil lintakiwa liwe nchi nzima kwan wamekuwa kero na ndo chanzo cha wiz na kupanda nauli kiholela. nawapongeza wana moshi. kaz nzuri
:A S kiss:Kaka nimependa uchambuzi wako. bgp kamanda.
kisaikolojia sidhani kama ataweza tena simama kwenye hadhira na kuendelea kumwa mitusi kama kawaida yake
nimekusma kamanda. hakianan mpka kieleweke. huwa nasema ukwel utakuweka huru na kamwe gizhaliwez kutawala mwanga. mbinu zote chafu za ccm zimeshndwa kwa jina la Allah
wewe lazima utkuwa ni mtoto wa magamba wanaoharb nnchi. swala la familia linahus nn chi yetu. yaelekea hujaoa ukajua changamoto za kuishi na wanawake. kama c dokta ungjua nn maana ya mafisad. chezea Doct wewe
acha upumbavu. think big. yapo mambo ya msingi yanayasib taifa letu yanahitaj umakin na si wazo la kipuuz kama lako. unachefuia hali ya hewa. dont dare any more sawa dogo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.