big upKaribu,ila ucwe kirusi!ungama
dhambi ulizotenda kwa watanzania ulipokuwa CCM,then watumikie watz
kupitia chama makini CHADEMA!
YAANI huyo kibabu bado ana ndoto tu za siasa? si bora aende shamba tu akajilimie kahawa? anajipa stress za ajabu
We lazima utakuwa lichawiwapi hapo nimemkashifu. nimempa ushauri wa bure tu.
baada ya kuona CCM imepoteza msingi alioacha baba wa taifa hayati Mwalimu Nyerere
ukitaka kujijua kama unalaana bila kuambiwa na mtu, ni unapo jikuta unakashfu watu waliyo kupita umri! au wewe ulizaliwa na vijana wenzako ? heshima kitu cha bure
Huyu mzee sindiyo yule ambaye alikuwa anakula rushwa bila hata ya kunawa,nakumbuka alisimamia kesi ya angetile ilikuwa aibu tupu.Hiki ndicho chanzo cha anguko la ccm, kwani wafuasi wake wanakihama chama hicho kwa kuacha kufanya kwa vitendo maadili yale ambayo ndiyo yalikuwa misingi ya kuanzishwa kwake.
Kwa umri wake kitendo alichokifanya ni ushujaa na kaona mbali kwani kwa imani tulizonazo sasa ukifa ukiwa ndani ya CCM ni moja kwa moja unaenda motoni kulingana na matendo ya CCM kwa hiyo kaamua kujiokoa.YAANI huyo kibabu bado ana ndoto tu za siasa? si bora aende shamba tu akajilimie kahawa? anajipa stress za ajabu
Huyu mzee sindiyo yule ambaye alikuwa anakula rushwa bila hata ya kunawa,nakumbuka alisimamia kesi ya angetile ilikuwa aibu tupu.