Recent content by mcjay

  1. M

    Msaada: Programming languages

    Programmers hawana maneno mengi sana.....jamaa anaomba ushauri nyie maneno mengi........fagix u can start with any language....but currently java ndio ina pick na cio lazima ujue language zingine
  2. M

    CV ya Profesa Jay (Joseph Haule)

    Tunaangalia Jimbo Tanga ili tumlete na Roma mjengoni 2020.... wakubana pua waendelee kubana pua kwa ajiri ya wengine
  3. M

    Lowassa/Zitto Kabwe wapeleka kilio CCM

    Mkulu hiki kitu kidogo ulichokiandika ndio kinawapaga ushindi watu wengi kuliko hata hizo flying over wanazopambania
  4. M

    Wapinzani ndio walistahili kwenda Ikulu na si CCM hata kidogo

    1.Chinga wapo huru kufanya biashara zao. 2.Barabara nyingi zimefanyiwa ukarabati. 3.Huduma nyingi zinatolewa kwa wakati...watu wapo kwenye maofisi muda wote. 4.Utetezi usio na shaka wa mali za umma e.g kuna open space ilitaka kuchakachuliwa. 5.Uwazi uliopitiliza katika utendaji wa...
  5. M

    Shombo za kubenea zimeharibu ndoto ya Lowassa

    Mkuu umenena.......inakuwa kama ile ya kumnyoshea mtu kidole.....wakati finger zingine zote zinakuelekea wewe
  6. M

    Taasisi na Mashirika ya Umma kutoa pongezi kupitia Vyombo vya habari liangaliwe upya

    Nyie vipi na hao wa magazeti watapata wapi fedha za uendeshaji......hiyo ni kama "food chain"
  7. M

    Wadada wengi mjini wana pesa, maisha mazuri, magari, wamesoma lakini hawaolewi

    Psychological problem......tafuta ushauri nasaa fasta
  8. M

    Mtandao umezikwa rasmi leo

    Kayumba hapa fulu mateso.....haya bwana ila sijakumanya
  9. M

    Mtandao umezikwa rasmi leo

    Huko sawa
  10. M

    Mtandao umezikwa rasmi leo

    Huko sawa
  11. M

    Alikiba: Mimi ni mkubwa zaidi ya tuzo, na muziki wangu una thamani zaidi ya tuzo

    Kama yanga na simba vile "wa mchangani na wa kimataifa"
  12. M

    Masanja Mkandamizaji na Kuunganisha dots katika Maisha

    Wanatembelea nyota ya profesa J na sugu wenzao itikadi zinawabeba.....kwangu mimi mbunge hajae ni Roma cio hao wauza sura kwenye TV
  13. M

    GE2015 Binafsi nasherehekea kuondoka Kikwete na siyo kuapishwa Magufuli

    Kweli mkuu nina wasiwasi naye inawezekana ndio wale "kalio thinkers"
  14. M

    Pole sana DC Makonda; Wabunge wote UKAWA, Halmashauri UKAWA, Meya UKAWA

    Hivi kubenea, halima mdee na mnyika wapo na makonda........da! hii sasa sifa!
Back
Top Bottom