Recent content by mchungaji nangi

  1. M

    ITV linavyochemka chemka!

    mhariri hajui kazi yake.huenda kesho akaomba samahani kwa upotoshaji.hii ndo tz bwana.
  2. M

    Kituo cha polisi Geita chavamiwa, Askari wauawa!

    wananchi inabidi tutoe ushirikiano kwa polisi la sivyo tuta kwisha.hii ni hatari bunduki moja ikilia wengine hatulali sasa hizo kumi si nchi nzima tutakwisha?kama mtu anajua walipo majambazi julisha kwa ocd aliye karibu yako.
  3. M

    Tanzania yazindua mgodi

    du!mi tatizo langu bei ya dhahabu.hivi hizo kg 50 wameuza bil.1:5 au 2:2?na wamezalisha kwa muda gani kupata hizo kg?anaejua anijibu.
  4. M

    Tangazo la ajira Jeshi la Polisi 2014/2015

    uwe mzalendo.kama unataka mshara mkubwa .hutufai maana ukiukosa wewe utakua trafiki feki.
  5. M

    Tangazo la ajira Jeshi la Polisi 2014/2015

    kama umeajiliwa na serikali huwezi ajiliwa jeshi lolote.
  6. M

    Kwa hili CCM mtusamehe jimbo la Magu

    bora magu.sengerema tumezungukwa na ziwa lakini maji ni anasa.ngareja kwake hakuna hata bomba kwa kuogopa kuoga maji yenye vyura kaamua kuishi dar.nasikia anataka urahisi hii kazi kweli.
  7. M

    Jiwe laporomoka na kuua wanne Mwanza

    acheni kuwaona wajinga.ni mazingira wamezaliwa na kuyakuta.kwani miaka yote serikali haiwaoni wamekosea kujenga milimani?
Back
Top Bottom