Mh2
Member
- Apr 7, 2014
- 90
- 11
Natumia fursa hii kuwaomba na kuwapa taarifa wafurukutwa na washika mikia wa Chama Cha Mapinduzi ya kuwaweka katika hali mbaya wananchi wa jimbo la Magu. CCM mmelitumikia jimbo LA Magu kwa muda mrefu sana, na tangu muda aka kipindi hicho hakuna lolote ambalo mmelifanya. Sasa nawapa taarifa kuwa mwaka kesho mnalalia kuti kavu. CHADEMA kwa namna yoyote ile lazima tunachukua jimbo.Nawapa intro nyinyi kwa kuwatumia pilisi kama chambo yenu kwa kuwatisha wapiga kura pamoja na Mkuu wa wilaya, nawaambieni timu hii lazima hata kwa kumwaga damu tunachukua jimbo.