Baraza la sanaa Tanzania BASATA limeendelea na uhamasishaji wa Wasanii Kujisajili kwenye mfumo wa Usimamizi Taarifa za Msanii 'Amis' pamoja na kuwasaidia Washiriki kujisajili kwenye Tuzo za Muziki Tanzania (TMA) waliokua na changamoto za Kimtandao.
Akizungumza na Wasanii wa Dodoma Kwanza Afisa...
Ni dhahiri sasa kwamba Sanaa ya Taifa letu inazidi kukua siku hadi siku na baadhi ya Watu waliokua wanadhani hii sanaa uhuni kama sio kubadilika basi hawapo tena.
Kwa hivi sasa imekua kawaida Waimbaji mbalimbali wa 'Bongo Fleva' wakialikwa sehemu nyeti na kupewa upendeleo wa hali ya juu jambo...
Moja kati ya taarifa nilizovutiwa nazo baada ya kuingia mtandaoni ni kuhusu kinachoitwa ‘Umafia Mkubwa katika uuzwaji wa Korosho, Viongozi kuwanyonya Wakulima’ Sababu kuu za kunivutia ni sababu Korosho iliwahi kuingia kwenye mzozo mkubwa sana na Rais aliyepita wa awamu ya tano Mh. Magufuli kiasi...
Najaribu kuvuta kumbukumbu na kumbukumbu hizi zinanirudisha nyuma mpaka Oct 2018 wakati Rais wa awamu ya tano Dkt John Magufuli alipoagiza kukusanywa kwa Wakulima korosho zote na baadhi ya Wanunuzi kufungiwa kwa sababu ya mazingira mengi ya kutunyonya sisi wakulima ikiwemo ‘Kangomba’ ambayo sio...
Lakini yule Naibu Waziri kwenye Clip ya Watendaji kakiri wazi kuwa kulikua na shida na wamemuomba Waziri Mkuu mpk mwishoni mwa Nov aende kuzindua. Wabongo mbona km hatuna jema hivi? Mnakatisha tamaa Viongozi wetu.
Mimi ni mmoja kati ya watu waliokua wanaifatilia Ziara ya Waziri Mkuu Majaliwa Mikoa ya kusini mwa Tanzania, Pamoja na kwamba Ziara nyingi za PM akiibuka sehemu hapakosi jambo au kumuacha mtu salama Lakini nilikua najiuliza WHY PM hakumpa nafasi Naibu Waziri aelezee suala la kukosekana kwa Taa...
Ziara ya Mheshimiwa Rais John P Magufuli kwa mikoa ya kanda ya ziwa inaibua vitu ambavyo vingine tulikua hatuvijui, moja wapo ni pamoja na hili la RC wa Simiyu Mheshimiwa MTAKA kuwa ndie RC BORA kwa sasa kwenye wateule wake wote waliopewa mikoa.
Kwa wasiomfahamu RC Mtaka ndiye aliewakataza...
Tangu Rais JPM atoe hotuba yake akiwa Chato juu ya sakata la Makontena ya Bandarini ambayo yametajwa kuwa ya 'Makonda' wa Dar na Rais akaeleza kinaga ubaga msimamo wa Serikali kuwa lazma yalipiwe kodi ni wengi wameshangilia uamuzi huu wa Rais, wengine wakaenda mbali kuwa akitumbuliwa watachukua...
Tangu Rais JPM atoe hotuba yake akiwa Chato juu ya sakata la Makontena ya Bandarini ambayo yametajwa kuwa ya 'Makonda' wa Dar na Rais akaeleza kinaga ubaga msimamo wa Serikali kuwa lazma yalipiwe kodi ni wengi wameshangilia uamuzi huu wa Rais, wengine wakaenda mbali kuwa akitumbuliwa watachukua...
Nimejaribu kupitia mijadala mbalimbali juu ya issue ya Makontena yanayotajwa kuwa ya RC dhidi ya tuhuma za Kodi zinazomkabili..! Watu wengi wanasema busara itumike busara itumike lakini ukiangalia hili sakata toka mwanzo kwa RC hakukua na busara leo Twitter nmeona clip fupi inazunguka RC akisema...
Nimejaribu kupitia mijadala mbalimbali juu ya issue ya Makontena yanayotajwa kuwa ya RC dhidi ya tuhuma za Kodi zinazomkabili..! Watu wengi wanasema busara itumike busara itumike lakini ukiangalia hili sakata toka mwanzo kwa RC hakukua na busara leo Twitter nmeona clip fupi inazunguka RC akisema...
Hizi dedication zingine ni ngumu sana kuzielewa kwa haraka, Nimerudi usiku home nimemkuta shemeji enu anajiandaa kulala basi huku na huku akaamua kuweka wimbo wa Kibamia wa Rostam, kilichontisha zaidi ni yeye kuvutiwa na Chorus na kuiimba kabisa 'Sitaki Kibamia, Mwanaume mashinee' kiukweli...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.