Recent content by mchongameno

  1. mchongameno

    CHADEMA Washington DC, Marekani yapata uongozi mpya

    Kalley Pandukizi namjua vizuri sana, Amezaliwa Ocean Road Hospital Miaka ya sabini. Baba yake ni Mdoe wa Bagamoyo lakini si ndugu na Kikwete. Mama yake ni Mzigua wa Turiani. Ameishi magomeni makuti tangu akiwa mdogo, nyuma ya kanisa katoliki mtaa wa Mlandizi, Baadae akaishi mtaa wa Ufipa...
  2. mchongameno

    CHADEMA Washington DC, Marekani yapata uongozi mpya

    Kutoka kushoto Katibu wa Chadema Washington DC Ndugu Liberatus Mwang'ombe, Mh Freeman Mbowe, Abuu Shatry wa Swahilivilla na Mwenyekiti wa Chadema Washington DC Ndugu Kalley Pandukizi.
  3. mchongameno

    CHADEMA Washington DC, Marekani yapata uongozi mpya

    TAARIFA KWA UMMA CHADEMA WASHINGTON DC, MAREKANI YAPATA UONGOZI MPYA Kikao cha Viongozi wa Tawi la Chadema Washington DC, Marekani, tarehe 27 July 2013 kimemteua Ndugu Kalley Ammy Pandukizi kuwa Mwenyekiti wa Tawi kuchukua nafasi ya Ndugu Cosmas Wambura. Awali Ndugu Kalley Pandukizi alikuwa...
  4. mchongameno

    M'kiti wa Kwanza CHADEMA USA awang'akia Mbowe, Slaa, Zitto, Warioba...

    Nimemsikiliza Vizuri Kalley Pandukizi, Aliyoongea yote ni ya maana sana na kuzingatiwa hasa kuhusu suala la Tume ya Katiba, Serikali kutumia Nguvu za Dola kupambana na Vyama vya Siasa na Suala la Propaganda Chafu zinazoenezwa na Chama tawala kwa Viongozi wa Juu wa CHADEMA hasa Dr Slaa. Huyu...
  5. mchongameno

    Blogs za vyama

    Ni kweli mwanzisha mada nafikiri ameshindwa kutofautisha Blog na Website. Hayo yote anayozungumzia yanapatikana katika tovuti (website) ya Chadema. Kumbuka pia CCM wana tovuti na Blog. Kwenye tovuti ndio utaona hayo unayosema na kwenye blog yao hakuna hicho unachokisema. Nafikiri kwa upande wa...
  6. mchongameno

    Dk.Slaa lipa deni hili la CHADEMA

    Wewe tuntemeke na CCM wenzio hamuwezi hata siku moja kuangusha ngome imara ya CHADEMA. Njooni na propaganda zenu za kila aina lakini bahati nzuri wapenzi na wanachama wengi wa CHADEMA wamekwenda shule hawawezi kuyumbishwa na Propaganda zenu. Kwanza napenda kukuweka wazi wewe na Magamba wenzio...
  7. mchongameno

    Polisi wamefanya makosa makubwa ZANZIBAR - Kushtakiwa

    Kwanza lazima tujiulize hao watu waliopigwa mabomu walikuwa eneo gani? Pili walikuwa wanahatarisha maisha ya wengine au kufanya jambo lolote linalohatarisha usalama wa nchi? Hapo walipokusanyika lengo lao hasa lilikuwa ni lipi? Chanzo cha mkusanyiko wao ni nini? Tutakapopata majibu ya maswali...
  8. mchongameno

    Chadema kuiburuza serikali mahakamani

    TAMKO LA WANACHAMA WA CHADEMA MAREKANI
  9. mchongameno

    Mauaji ya Usa River na Kisa cha Mtego wa Panya

    TAMKO LA WANACHAMA WA CHADEMA MAREKANI KUHUSU MATUKIO YA KUUAWA KWA WANACHAMA NA WAPENZI WA CHADEMA
  10. mchongameno

    Kiongozi wa Chadema achinjwa Arusha kama ccm wanataka vita tupo tayari

    TAMKO LA WANACHAMA WA CHADEMA MAREKANI KUHUSU MATUKIO YA KUUAWA KWA WANACHAMA NA WAPENZI WA CHADEMA
  11. mchongameno

    Jamani, watawala jiepushe na umwagaji wa DAMU kisiasa, haulipii!

    TAMKO LA WANACHAMA WA CHADEMA MAREKANI KUHUSU MATUKIO YA KUUAWA KWA WANACHAMA NA WAPENZI WA CHADEMA
  12. mchongameno

    Kifo cha Mwenyekiti USA River sababu ni Kusimamia haki na ubadhirifu wa mali, so tofauti zakisiasa

    TAMKO LA WANACHAMA WA CHADEMA MAREKANI KUHUSU MATUKIO YA KUUAWA KWA WANACHAMA NA WAPENZI WA CHADEMA
  13. mchongameno

    CCM wameamua kuchinja watu kama syria

    TAMKO LA WANACHAMA WA CHADEMA MAREKANI KUHUSU MATUKIO YA KUUAWA KWA WANACHAMA NA WAPENZI WA CHADEMA
  14. mchongameno

    Mwenyekiti wa CHADEMA Usa River auwawa kinyama

    TAMKO LA WANACHAMA WA CHADEMA MAREKANI KUTOKANA NA VITENDO VYA KUUAWA KINYAMA WAPENZI NA WANACHAMA WA CHADEMA Chadema Blog: TAMKO LA WANACHAMA WA CHADEMA MAREKANI
  15. mchongameno

    Polisi wajikoroga kuhusu kifo cha mwenyekiti wa CHADEMA Usa River

    TAMKO LA WANACHAMA WA CHADEMA MAREKANI KUTOKANA NA MATUKIO YA KUUAWA KINYAMA WANACHAMA NA WAPENZI WA CHADEMA Chadema Blog: TAMKO LA WANACHAMA WA CHADEMA MAREKANI
Back
Top Bottom