kicheche999
Member
- Apr 23, 2012
- 47
- 16
Viongozi wa chadema wanachinjwa chinjwa kule Arusha there should be a nationwide outcry. Inakuaje members wa vyama vya upinzani kila siku tunasikia wanapigwa mitaani tunakaa kimya na viongozi wa vyama vya upinzani wako wapi? Kila siku tunamuona Mbowe anacheka cheka na JK **** HIM TOO