Sema Chilo
JF-Expert Member
- Mar 24, 2012
- 324
- 24
Inasikitisha sana kuhusu kifo cha kamanda wetu ambae tulilinda nae kura hapo Arumeru kwakweli ni pigo sana
we kada uliyebaki wa magamba kila siku nakuuliza utaki kunijibu ulizaliwa enzi za pepopunda?Sasa kifo chake kinatuhusu nini? Huyo atakuwa ameChacha Wangwe tu na viongozi wenzake wa chama mfu(Chadema).
.
"WASIOSOMA NI CHAKULA CHA WASOMI".
Sasa kifo chake kinatuhusu nini? Huyo atakuwa ameChacha Wangwe tu na viongozi wenzake wa chama mfu(Chadema).
.
"WASIOSOMA NI CHAKULA CHA WASOMI".
Chadema wamemuua mwenzao baada ya kupigia akagawe kadi alikuwa tishio kwa viongozi mbalimbali ndani ya chama hicho ni kama vile chacha wangwe