Chadema kuiburuza serikali mahakamani

Mimi ni mwanachama wa chadema, lakini serekali ina wajibu wa kulinda uhai wangu na wa watanzania wote, bila ya kubagua, itikadi, ushabiki, upenzi wala uanachama wa chama chochote. Ccm shauli yenu.
 
kwenye mazishi ya mkiti wa ccm huko meru leo Andengenye ameahidi mil 10 atakae saidia kukamatwa kwa muaji lakini lema alimpinga hapo hapo na kumwambia wauji walimpigia simu marehemu kwanini wasifanye uchunguzi kwenye mitandano ya simu

Huyu kamanda amekwisha zikwa? Mbona hakuna chombo cha habari kilichoripoti?
 
Huyu kamanda amekwisha zikwa? Mbona hakuna chombo cha habari kilichoripoti?

Wewe unafikiri ni kwa sababu akina Novatus Makunga au Mshana hawapo?

Tumia akili zako changanya na za kwako, mambo kama haya serikali inapenda yapite kimya kimya.
 
Na sisi tuanze kuyaua magamba kimya kimya.

'Sipo tayari kuingia ikulu huku damu ya watanzania ikimwagika.............. Kama ni hivyo ni bora msinipigie kura zenu kabisa'. Dr. W. P. Slaa akihutubia mkutano wa kufunga kampeni za uchaguzi mkuu October 30 2010 mkoani Mbeya
 

Attachments

  • SlaakuhutubiaMbeya2.jpg
    SlaakuhutubiaMbeya2.jpg
    21.5 KB · Views: 25
'Sipo tayari kuingia ikulu huku damu ya watanzania ikimwagika.............. Kama ni hivyo ni bora msinipigie kura zenu kabisa'. Dr. W. P. Slaa akihutubia mkutano wa kufunga kampeni za uchaguzi mkuu October 30 2010 mkoani Mbeya

Hiyo ni kauli ya mwanasiasa aliyekomaa, sasa sijui haya mauaji uchwara yanatokea wapi?

Mingu tuepushe na mabalaa haya.
 
Jamani mimi mambo ya sheria kidogo kushoto!

Naomba mnijuze kama serikali itaburuzwa mahakamani na kushindwa hukumu yake inakuwaje? Ni nani anaewajibishwa? Je anawajibikaje kuhakikisha kwamba tatizo hilo halijirudii?
 
Kuna huyu mtu anaitwa MARTIN SHIGELLA wa UVCCM sijui?

Amekuwa akihusishwa sana na MAUWAJI ya Wana Chadema kuanzia Igunga na pia UTEKAJI NYARA wa Wana Chadema huku akimalizia na VIPIGO au VITISHO kwa Wana Chadema.

Ningeliomba Wana CCM wenye mapenzi ya moyo na Tanzania ambao wana habari zake kamili huyu jamaa na wengine wengi basi mzitunze vizuri kama ushahidi ili siku ikifika, hawa wote waburuzwe mahakamani na huko nina imani watahukumiwa na kupata adhabu kubwa kuliko zote - KUNYONGWA.

Kibaya zaidi kwa watu kama Shigella ni kuwa, siku hiyo watajikuta wamebaki peke yao huku akina Kikwete na Mkapa wakiwaruka kuwa hawakutoa amri kama hiyo. Hii mijitu mijinga sana inatumiwa kama mitoto midogo kufanya unyama huu ila siku si nyingi, mambo yatabadilika.

Juzi juzi tu jinga jingine Charles Taylor limeishia kufungwa .......

Nyie wana CCM, someni alama za wakati. CCM inakufa na nyie msitumike sehemu ambazo zinatawasababisha muache familia zetu wakiwa yatima au kufungwa kwa miaka mingi. Meli imeshaondoka na hakuna kusimama. Tumikeni sana tu ila mwisho wa siku hivyo vipande 30 vya fedha vitawatokea puani.

AGAIN: SOMENI ALAMA ZA NYAKATI.
 
By the way ni vizuri kesi ikafunguliwa, itapigwa nenda rudi, nenda rudi, 2015 mahakama itakuwa na uhuru kamili, na ujasiri wa hakimu utakuwepo. Mwisho haki itapatikana.
 
Uchungu huo mnaupata leo?

kwani mara ya kwanza watu kuuwawa na polisi hapa bongo?

Mkapa hakuua wapemba january 21

....we kiazi kweli? kwa hiyo waachwe waendelee kuua? CUF imewasaliti kwa kufunga ndoa ya mkeka, walau kuna chama kinachowajali wananchi, kimeamua kupigania haki yao ya kuishi.
 
Hii inaonesha uimara wa chama. Pelekeni magamba mahakamani pia haikawii kusikia polisi kutishia kuwakamata viongozi wa cdm kama ilivyokuwa Mwanza.
 
Hii inaonesha uimara wa chama. Pelekeni magamba mahakamani pia haikawii kusikia polisi kutishia kuwakamata viongozi wa cdm kama ilivyokuwa Mwanza.

Mbona Dr. Slaa yupo na anakata mitaa tu. Watishe tu siku CDM wakitisha ujue nchi imekwenda.
 
Losambo, nashindwa kuelewa inakuwaje serikali kupitia Jeshi la Polisi wameshindwa hata kumkamata mtu mmoja kutokana na haya matukio ya kutisha? Kama wameshindwa tafsiri yake ni kwamba Tanzania sio salama tena kwa sababu jeshi la polisi halina uwezo wa kupambana na mauwaji! Je, ni kweli polisi hawana uwezo huo? Uvamivi mpaka kwa wabunge?

Jeshi letu la polisi linawasujudia wageni na sio raia wake.. Si mnakumbuka alivyouliwa mchina ? Mbona watuhumiwa walipatikana.. Lakini leo wakiuliwa wazawa na raia inakuwa kazi kulipa uzito. Yaani wanawathamini wageni kuliko wazawa wenye nchi yao. Hii nchi ya ajabu sana sana..
 
Tume ya Katiba, badili jina yahe, wewe sio tume ya katiba, KWA TABIA YAKO NA LUGHA YAKO WEWE ni TUME YA ZAMANI YA KATIBA KICHAA! Au na wewe uko rabid?
 
Akisoma maadhimio kumi na sita mbunge wa Ubungo Mh. John Mnyika amesema chama chake kipo njiani kuishitaki serikali kutokana na makada wake kumi na tano kuuawa na serikali kukaa kimya.

Mnyika aliweka wazi toka chaguzi mbali mbali ndogo zianze chama chake kimekuwa kikipoteza makada wake katika mazingira ya kutatanisha na serikali kukaa kimya kama hanma kitu kilichotokea.

Source ITV.

sitaki kuamini kua serikali inaua wanachama wa vyama vya upinzani kwa sababu kama kweli wanafanya hivyo then nchi yetu haina tofauti na syria au libya
 
Back
Top Bottom