Recent content by Mchokoo

  1. Mchokoo

    Kwa miongo ulioishi Duniani umejifunza nini?

    Duniani hapa tumekuja kufanya uchaguzi, kati ya Mungu na shetani. Chagua atakayekufaa.
  2. Mchokoo

    PreGE2025 Wachungaji Wasabato Tanzania na Kenya: Viongozi wa Dini wasiwe Wanasiasa

    (Furahini pamoja nao wafurahio; lieni pamoja nao waliao. Rum 12:15) Yaani wasabato ni kama wanashangilia msibani, wameshindwa kabisa kulia na wanaolia!
  3. Mchokoo

    Ulaya makanisa yalianza kufa baada ya viongozi wa dini kujitosa kwenye siasa, Tanzania linakuja taratibu

    Mbona papa ni kiongozi wa dini na siasa, na bado kanisa la Roma ndiyo kwanza linadunda tu hapo ulaya!
  4. Mchokoo

    Watawala wetu wasiogope siasa za ushindani

    Ushindani wa haki na kweli ni muhimu sana kwenye demokrasia.
  5. Mchokoo

    Ukraine Attacks Zaporozhe Nuclear Power PlantHal Turner

    Siku hizi ni Ticha Zungu.
  6. Mchokoo

    Askari Polisi mstaafu, Saba Sita anafukuzana na kivuli cha mauti yake

    Mkuu masopakyindi, Saba Sita yuko sahihi haswaaa! Sema tulio wengi tunapenda kujidanganya kwamba duniani tupotupo sana! Ndiyo maana baadhi yetu wakipata nafasi wanapora mali za uma. Na kujilimbikizia mapesa mengi utadhani wana miaka 5000 hapa duniani. Huku wakiwaacha wenzao hohe hahe mzumgu...
  7. Mchokoo

    Waziri, kilomita 7 ziendelee kutesa watu jimbo la Ukonga?

    Kwanza, niishukuru serikali ya mama Samia kwa kufanikisha mradi wa DMDP awamu pili ili kuboresha miundombinu ndani ya jiji la Dar es Salaam. Ambapo kutokana na ubovu wake imegharimu mali na maisha ya watu. Kimsingi mimi ni mkazi anayehudumiwa zaidi na barabara ya Nyerere. Ambapo barabara hii...
  8. Mchokoo

    Tazara sasa wanaiaibisha nchi

    Mkuu, sijui nani katuroga?
  9. Mchokoo

    Tazara sasa wanaiaibisha nchi

    Sisi wananchi tu tunawashangaa Tazara, vipi wageni wanajisikiaje? Treni ilikuwa iondoke saa saba ila mpaka saa hizi wanatutangazia mpaka saa 12, na hapo ni danadana tu zinaendelea. Nimeambiwa ilifika jana kwa nini hayo matengenezo hayakufanyika hiyo jana? Au kuna hujuma? Hapa wamejazana...
  10. Mchokoo

    PreGE2025 Tuweke ushabiki pembeni, ukweli ni kwamba Rais Samia ameshindwa kazi ya urais

    Kimsingi ndilo tatizo kuu la nchi yetu! Nimeshangaa kumbe na wewe unalijua!
  11. Mchokoo

    Tutengeneze mazingira ya kuondoana madarakani kistaarabu

    Mtake msitake, binadamu ni tofauti na mnyama, ambaye hutamkandamiza akubali siku zote. Tulichokikataa kwa wazungu wachache wa Afrika ya kusini zamani; hatutakifanya leo kikubalike popote! Ubabe, maguvu siyo suruhu katika ulimwengu uliostaarabika! Si-mnaona mataifa yenye nguvu yanavyoaibika...
Back
Top Bottom