Mchokoo
JF-Expert Member
- Jul 28, 2015
- 1,179
- 1,579
Sisi wananchi tu tunawashangaa Tazara,
vipi wageni wanajisikiaje?
Treni ilikuwa iondoke saa saba ila mpaka saa hizi wanatutangazia mpaka saa 12,
na hapo ni danadana tu zinaendelea.
Nimeambiwa ilifika jana kwa nini hayo matengenezo hayakufanyika hiyo jana? Au kuna hujuma?
Hapa wamejazana wageni kutoka nchi za kiafrika hadi Ulaya, Asia na Amerika.
Sasa najiuliza sisi waafrika tunafahamiana.
Vipi hawa weupe wanatuonaje?
Dah, hadi aibu.
vipi wageni wanajisikiaje?
Treni ilikuwa iondoke saa saba ila mpaka saa hizi wanatutangazia mpaka saa 12,
na hapo ni danadana tu zinaendelea.
Nimeambiwa ilifika jana kwa nini hayo matengenezo hayakufanyika hiyo jana? Au kuna hujuma?
Hapa wamejazana wageni kutoka nchi za kiafrika hadi Ulaya, Asia na Amerika.
Sasa najiuliza sisi waafrika tunafahamiana.
Vipi hawa weupe wanatuonaje?
Dah, hadi aibu.