Watawala wetu wasiogope siasa za ushindani

Watawala wetu wasiogope siasa za ushindani

Mushkov

JF-Expert Member
Joined
Feb 16, 2024
Posts
623
Reaction score
1,292
Inawezekanaje Republican wamtoe Democrat kwenye uchaguzi na kubakiza vyama vidogo vidogo halafu watuambie wamefanya uchaguzi?
Huo utakuwa si uchaguzi bali ni VICHEKESHO.

Inawezekanaje SIMBA amtoe TEMBO kwenye mashindano na kuwabakiza digidigi, sungura, panya na nyani halafu atuambie kuwa kulikuwa na mashindano.

Hayo yatakuwa si mashindano bali ni VICHEKESHO.

Tanzania kama Nchi, ebu tuwe serious na uchaguzi. Tuache kuleta janja janja za kuwasulubu wapinzani wetu wakubwa kwenye na kubakiza vyama visivyo na ushindani.
Hii itakuwa ni aibu ya milele kwa Taifa letu kwa sababu tangu mfumo wa vyama vingi uanze hakuna Rais aliyewahi kufanya hivyo.

Narudia tena, ndugu zangu Viongozi wa Dini, watu wa Haki za binadamu nk. andaeni utaratibu, kisha wakutanisheni CHADEMA na viongozi wa serikali ili kufikia mwafaka wa jambo hili na hatimaye vyama vyote viingie kwenye uchaguzi wa mwaka huu. Huo ndo utakuwa uchaguzi, vinginevyo itakuwa ni VICHEKESHO.
 
Siasa za Tanzania ni utafutaji kama ulivyo utafutaji mwingine eg kuchimba madini,kuwinda nk.kwahiyo lazima umzime mshindani wako ili upate wewe. Omwana waundi ahanzula ahomba wanasema waha!
 
Inawezekanaje Republican wamtoe Democrat kwenye uchaguzi na kubakiza vyama vidogo vidogo halafu watuambie wamefanya uchaguzi?
Huo utakuwa si uchaguzi bali ni VICHEKESHO.

Inawezekanaje SIMBA amtoe TEMBO kwenye mashindano na kuwabakiza digidigi, sungura, panya na nyani halafu atuambie kuwa kulikuwa na mashindano.

Hayo yatakuwa si mashindano bali ni VICHEKESHO.

Tanzania kama Nchi, ebu tuwe serious na uchaguzi. Tuache kuleta janja janja za kuwasulubu wapinzani wetu wakubwa kwenye na kubakiza vyama visivyo na ushindani.
Hii itakuwa ni aibu ya milele kwa Taifa letu kwa sababu tangu mfumo wa vyama vingi uanze hakuna Rais aliyewahi kufanya hivyo.

Narudia tena, ndugu zangu Viongozi wa Dini, watu wa Haki za binadamu nk. andaeni utaratibu, kisha wakutanisheni CHADEMA na viongozi wa serikali ili kufikia mwafaka wa jambo hili na hatimaye vyama vyote viingie kwenye uchaguzi wa mwaka huu. Huo ndo utakuwa uchaguzi, vinginevyo itakuwa ni VICHEKESHO.
UJUI MAANA YA "STATE CAPTURE" TENA YA RAIA FEKI NI MBAYA ZAIDI .
kwa sasa africa.. Tanzania tupo pabaya zaidi kuliko nchi zote maana tumepigwa state capture na raia feki ....kwa sababu ya upumbavu wa CCM ...Nilionya kuhusu kanuni za uraia tanzania nikaonekana mpumbavu nilipo sema tunatakiwa kuwa na daraja 3 za uraia zenye hadhi tofauti siyo mfumo wa kiraia wa aina moja . Watu kama zungu na Rostam hawa walitakiwa kuwa raia wa daraja la 3 hata Samia nk
 
Huyo mgombea wa Republican alikwepa chuji la chama akajisukumiza mwenyewe, Sasa kwa hali hiyo unategemea ajingieze kwenye chujio la wananchi ili akamuliwe kama machicha ya mbege.
 
Huyo mgombea wa Republican alikwepa chuji la chama akajisukumiza mwenyewe, Sasa kwa hali hiyo unategemea ajingieze kwenye chujio la wananchi ili akamuliwe kama machicha ya mbege.
Ndo maana mimi nasema, uchaguzi mkuu hauwezi kuwa halali hata kidogo kwa kukitoa kwenye kinyang'anyiro chama kikuu cha upinzani.
Kwa nini tunataka kufanya mambo ya ajabu kama haya Tanzania?
 
Namuomba Mungu Samia afe kabla ya uchaguzi ili tupumue tena kama kwa Magufuli
 
Na mbaya zaidi mgombea mwenyewe uwezo hana, yaani ni kilaza!
 
Siasa za Tanzania ni utafutaji kama ulivyo utafutaji mwingine eg kuchimba madini,kuwinda nk.kwahiyo lazima umzime mshindani wako ili upate wewe. Omwana waundi ahanzula ahomba wanasema waha!
Umenena vyema sana. Nimekuelewa hapo kwenye ,"Mtoto wa mwenzio/mwingine" lakini hapo kwenye "ahanzula ahomba" nimepitia kapa. Tafadhali naomba tafsiri ili tuende pamoja.
 
Back
Top Bottom