Serikari imekanusha habari za upotoshaji juu ya kuwepo kwa ugonjwa wa Ebola Tanzania baada ya waliohofiwa kuwa na ugonjwa huo kufanyiwa uchunguzi na kugundulika hawana ugonjwa huo
https://www.jamiiforums.com/attachment.php?attachmentid=177726&d=1408094176
Awali BBC ilitangaza kuwepo na hofu ya...
Gari la Cocacola latumbukia mtaroni usiku wa kuamkia leo maeneo ya barabara ya Shinyanga karibu na ofisi za Manispaa ya Shinyanga hakuna taarifa za majeruhi wala kifo katika ajali hiyo.
Homa ya ugonjwa wa Dengue unahofiwa kuleta madhara katika michuano ya kombe la dunia nnchini Brazil huku nchi hiyo miaka michache nyuma iliripotiwa kuwa na kesi nyingi za ugonjwa huo kuliko nchi yoyote ile dunian.
Source: BBC News - Brazil 2014: World Cup dengue fever risk predicted
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.