Riziki Magembe
JF-Expert Member
- Apr 5, 2014
- 886
- 206
Wana jamvi juzi siku ya sherehe za muungano timu ya taifa imefungwa 3 bila na burundi,kimantiki ina tafsiri kuwa mfumo wa serikali 3 hata wana soka wameukubali,je wanao taka serikali 2 wanapata wapi uhalali?