Recent content by Mchapakazihalisi

  1. Mchapakazihalisi

    Taarifa kwa Umma kutoka TCRA

    [emoji419]TAARIFA KWA UMMA[emoji419] #tcratz #ITU #GenerationConnect #youth
  2. Mchapakazihalisi

    CYBER CHAMPION 2023/24

    Nusu fainali ya shindano la Cyber Champion 2023/24 itafanyika Jumamosi, Januari 20, 2024 kupitia mtandao kwa wanafunzi wote waliojisajili. BADO SIKU 3 TUU! Usajili bado unaendelea; tembelea https://cyberchampions.tcra.go.tz . . #cybersecurity #cyberchampions #informationsecurity #tzcert #tcratz
  3. Mchapakazihalisi

    Salamu za mapinduzi kutoka Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA)

    Bodi ya Wakurugenzi, Menejimenti na Watumishi wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) tunaungana na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan pamoja na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Hussein Ali Mwinyi, na Watanzania wote, kuadhimisha MIAKA...
  4. Mchapakazihalisi

    Taarifa Kutoka Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA)

    Usikose kufuatilia kipindi mbashara kwenye kurasa zetu za mitandao ya kijamii, kufahamu zaidi kuhusu Ufuatiliaji na Uhuishwaji wa leseni [emoji419]MBASHARA[emoji419] LEO HII [emoji413]: 05 JANUARI, 2024 [emoji937]: SAA 12 JIONI [emoji342]: YouTube & Facebook (tcra_tanzania)
  5. Mchapakazihalisi

    Kutoka Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA)

    Sasa CCM imekujaje hapo [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
  6. Mchapakazihalisi

    Kutoka Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA)

    Hii inamaana ya Artificial Intelligence (AI) yaani akili bandia
  7. Mchapakazihalisi

    Kutoka Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA)

    Nukuu ya Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), Dkt. Jabiri Bakari, akizungumza katika Uzinduzi wa Kitabu cha Kuanzisha na Kuratibu Klabu za Kidijiti, katika ukumbi wa Maktaba mpya ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Novemba 2, 2023. Bofya Digital Clubs kufuatilia tovuti ya...
  8. Mchapakazihalisi

    Muswada wa sheria ya Bima ya Afya kwa wote wa Mwaka 2022 wasomwa Bungeni, leo Novemba 1, 2023

    Macho na Masikio leo Bungeni Dodoma. Usikose Kufuatilia Mubashara.
  9. Mchapakazihalisi

    Jinsi ya kutuma maombi ya Leseni ya Mawasiliano TCRA

    Tembelea "Tanzanite Portal" kwenye ukurasa wa tovuti ya TCRA: www.tcra.go.tz ili kujisajili na kutuma maombi yako ya leseni ya mawasiliano. #lesenikidijitali #hapohapoulipo #tcratz #tanzaniteportal #hudumazamawasiliano
  10. Mchapakazihalisi

    Serikali kurudisha tena Mswada wa Bima ya Afya kwa Wote tena bungeni kesho 01/11/2023

    Serikali kupitia Wizara ya Afya inatarajia kurejea Bungeni tena leo Novemba 1, 2023 na Muswada wa Bima ya Afya kwa wote ambao ulikwama mnamo Mwezi Februari 2023 kwa hoja iliyotolewa na Bunge ya kutokuwepo kwa chanzo endelevu cha fedha kutekeleza Mpango huo. Muswada huu ni ndoto ya Serikali ya...
  11. Mchapakazihalisi

    Mkurugenzi Mkuu wa TCRA, Dkt. Jabiri Bakari kuwasilisha Taarifa ya Mwenendo wa Sekta ya Mawasiliano

    Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), Dkt. Jabiri Bakari atawasilisha Taarifa ya Mwenendo wa Sekta ya Mawasiliano kuanzia Mwezi Julai hadi Septemba, 2023. Taarifa hiyo itarushwa mbashara leo Jumatano, Tarehe 25 Oktoba, 2023 kuanzia saa Tisa Alasiri, kupitia chaneli ya...
  12. Mchapakazihalisi

    Elimu kwa umma juu ya matumizi salama ya mtandao

    Wataalamu wa Usalama Mtandao wakiongozwa na Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini wa Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Bw. Innocent Mungy walipokuwa kwenye mahojiano maalum ya kipindi cha Redio ya BAHARI FM kwa ajili ya kuelimisha umma juu ya matumizi salama ya mtandao...
  13. Mchapakazihalisi

    TCRA: Hatujakataza matumizi ya VPN bali ni kusajili na kutoa taarifa ya matumizi ya VPN

    Tukiwa katika Mwezi wa Usalama Mtandaoni, TCRA kupitia, Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano na Uhusiano kwa Umaa Bw. Rolf Kibaja imetoa maelezo kwamba Taarifa kwa Umaa iliyotolewa haijakataza matumizi ya VPN kama baadhi ya watu wanayopotosha kupitia mitandao ya kijamii. Bw. Kibaja amesema "TCRA...
  14. Mchapakazihalisi

    Magari ya viongozi wa Serikali na afya za wananchi wa Tanzania kipi muhimu?

    Tuache NHIF wafanye kazi yao, Tupunguze Porojo huku mitandaoni bila kuwa na Data sahihi, Huu mfuko ni msaada mkubwa sana kwa jamii twende mbele turudi Nyuma wanaouguza nadhani wanafahamu hili vizuri.
  15. Mchapakazihalisi

    Waziri Bashungwa ahaidi kupambana na Rushwa, atoa maagizo kwa mameneja TANROADS nchini

    Bungeni - Dodoma Waziri wa Ujenzi, Mhe. Innocent L. Bashungwa(Mb) amemshukuru Mheshimiwa Rais, Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuendelea kumuamini na ameahidi kudhibiti na kupambana na Rushwa katika mikataba, manunuzi na usimamizi wa miradi. Amesema hayo leo tarehe 06 Septemba 2023 Bugeni...
Back
Top Bottom