Taarifa kwa Umma kutoka TCRA

Taarifa kwa Umma kutoka TCRA

Joined
Sep 13, 2016
Posts
49
Reaction score
23
[emoji419]TAARIFA KWA UMMA[emoji419]

#tcratz #ITU #GenerationConnect #youth
IMG-20240129-WA0065.jpg
 
Nineangalia tangazo nikifikiri watatoa kigezo cha umri, naona wanazunguka mbuyu tu.
Umri ni miaka 18 - 24.... Nadhan wangesema tu ni baraza la wawakilishi la watoto. Kwa bongo huo umri vijana wengi bado utoto hujakwisha kichwani.
 
Umri ni miaka 18 - 24.... Nadhan wangesema tu ni baraza la wawakilishi la watoto. Kwa bongo huo umri vijana wengi bado utoto hujakwisha kichwani.
Dah. Thanks.

Kwa hiyo 25 si kijana tena?
 
According to Nape.... Miaka 25 unatakiwa uwe na wajukuu kabisa
Sasa hapo maana yake umepata mtoto ukiwa na miaka 12 na mtoto wako kapata mtoto akiwa na miaka 12 naye?

Mnafyatua tu.
 
Daah nilijua Taarifa ya StarLink kupewa kibali ili hawa wahuni tuwakimbie...
 
Back
Top Bottom