Mchapakazihalisi
Member
- Sep 13, 2016
- 49
- 23
[emoji419]TAARIFA KWA UMMA[emoji419]
#tcratz #ITU #GenerationConnect #youth
#tcratz #ITU #GenerationConnect #youth
Nineangalia tangazo nikifikiri watatoa kigezo cha umri, naona wanazunguka mbuyu tu.Hii nchi ilivyo ya kimichongo utakuta kuna vijana wa miaka 50 - 80 wamo kwenye orodha.
Nape atateua toka Uvccm, hata hivyo mpaka tangazo liwe hapa jogoo kesha liwa.Hii nchi ilivyo ya kimichongo utakuta kuna vijana wa miaka 50 - 80 wamo kwenye orodha.
Umri ni miaka 18 - 24.... Nadhan wangesema tu ni baraza la wawakilishi la watoto. Kwa bongo huo umri vijana wengi bado utoto hujakwisha kichwani.Nineangalia tangazo nikifikiri watatoa kigezo cha umri, naona wanazunguka mbuyu tu.
Dah. Thanks.Umri ni miaka 18 - 24.... Nadhan wangesema tu ni baraza la wawakilishi la watoto. Kwa bongo huo umri vijana wengi bado utoto hujakwisha kichwani.
🤣🤣🤣🤣Hii nchi ilivyo ya kimichongo utakuta kuna vijana wa miaka 50 - 80 wamo kwenye orodha.
According to Nape.... Miaka 25 unatakiwa uwe na wajukuu kabisaDah. Thanks.
Kwa hiyo 25 si kijana tena?
Sasa hapo maana yake umepata mtoto ukiwa na miaka 12 na mtoto wako kapata mtoto akiwa na miaka 12 naye?According to Nape.... Miaka 25 unatakiwa uwe na wajukuu kabisa
Walete StarLink
Duh sasa mm nna 28 lkn ht huyo mpenzi tuu sinaAccording to Nape.... Miaka 25 unatakiwa uwe na wajukuu kabisa