Mchapakazihalisi
Member
- Sep 13, 2016
- 49
- 23
Bodi ya Wakurugenzi, Menejimenti na Watumishi wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) tunaungana na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan pamoja na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Hussein Ali Mwinyi, na Watanzania wote, kuadhimisha MIAKA 60 YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR
#tcratz #mapinduzizanzibar #miaka60yamapinduzizanzibar #kaziiendelee
#tcratz #mapinduzizanzibar #miaka60yamapinduzizanzibar #kaziiendelee