Mchapakazihalisi
Member
- Sep 13, 2016
- 49
- 23
Wataalamu wa Usalama Mtandao wakiongozwa na Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini wa Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Bw. Innocent Mungy walipokuwa kwenye mahojiano maalum ya kipindi cha Redio ya BAHARI FM kwa ajili ya kuelimisha umma juu ya matumizi salama ya mtandao, leo Oktoba 23, 2023, Zanzibar.
#NiRahisiKuwaSalamaMtandaoni #UsalaMtandao #CyberSecurityAwarenessMonth2023
#NiRahisiKuwaSalamaMtandaoni #UsalaMtandao #CyberSecurityAwarenessMonth2023