Kuna issue naombeni msaada, case inapo Isha hakimu anasema rufaa ipo wazi kwa ambae hajalidhika na maamuzi, sa mfano inatokea judgment holder akakata rufaa na judgment debtor akakata rufaa at the same time and the court, inakuaje hapo?????
jaman sasa tume choka haiwezekan mwafunzi tena nasoma sheria napelekwa kama wanafunzi wa secondar ya jeshi . kilasiku kufukuzwa darasan kisa huna dictionar na ukikutwa nje uandike barua kwann upo nje.
First we should look on the types of legal systems which we are apply in our country. Tanzania we are using
common law, customary, religious, and other. But which one among those is agree with such thing? After knowing that then why we should legalize it? There is no need to do so
Serekali ya tanzania inatarajiwa kutangaza matokeo mapya ya kidato cha nne siku ya Ijumaa.
Hayo yame semwa na wazir wa elimu wakati aki hojiwa katika kipi cha kume pamba zuka cha radio 1
pia wazr ame tangaza kua matokeo ya kidato cha 6 yatat0ka hv karbun na ame wa0mba watanzania kuwa na subira...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.