Mwakalinga Bujo
JF-Expert Member
- Oct 22, 2008
- 2,719
- 1,440
Kuna mabausa wa kutosho ...shaka ondoaMmmmh, usalama kwanza.
Kuna mabausa wa kutosho ...shaka ondoa
Namaanisha usalama wa dauni steaz, usisahau kuvaa kombati
Mi mwenyewe nilikutana na Zion Daughter kwenye daladala,hakunijua,ila nilichungulia simu yake nikaona ana'browse Jei efu,ila ku'scroll juu,si nikaliona jina la binti sayuni.........Nilimfotoa picha kisirisiri....akibisha nitaiweka hapa......!!!
Ndio faida za pm
Hebu mweke hapa nimjua
Alinikopa hela PM hajarudisha
Usiogope ,mimi ni handsome zaidi ya huyo jamaa kwenye avator yako . Komaa na pm kama Mwakalinga Y. RDu, umenifanya nikatabasamu mkuu usiye na jina! We lazima utakuwa jiniazi!
Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
haa haa haa haya kaka mkubwa ,ila ilikuwa ni kiroo safiNamaanisha usalama wa dauni steaz, usisahau kuvaa kombati
haya mkuu wewe mkaliUsiogope ,mimi ni handsome zaidi ya huyo jamaa kwenye avator yako . Komaa na pm kama Mwakalinga Y. R
Hao kweli watakuwa walinzi wa ukweli maana sijawahi ona mabausa wa kutosho, huku kwetu tuna mabaunsa wa kutosha lakini hawana lolote.Kuna mabausa wa kutosho ...shaka ondoa
Pole sana mkuu kwa kukuchanganya . Mikono imeteleza bahati mbaya ''mabaunsa wa kutosha''Hao kweli watakuwa walinzi wa ukweli maana sijawahi ona mabausa wa kutosho, huku kwetu tuna mabaunsa wa kutosha lakini hawana lolote.
Tuko pamoja mkuu.Pole sana mkuu kwa kukuchanganya . Mikono imeteleza bahati mbaya ''mabaunsa wa kutosha''
ha,ha,haa. mbafu sangu jamani.Namaanisha usalama wa dauni steaz, usisahau kuvaa kombati
na mi natafuta wa kukutana naye. napatika unga ltd, pm jamani kwa wan arachuga!Subiri akanushe kwanza...!!:A S 103: