Hivi Lema na wale wabunge wenu wa chama cha mbogamboga nani wenye elimu mbovu?yani ccm na wabune wake kama wakina kibajaji,msukuma,kingu milinga na hao wanaojiita wasomi kama wakina juma Nkamia si washenzi tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkumbuke pia lema huyo huyo anaongoza kwa kuchangia mijadala ya kuwagusa wananchi kuliko hao wanaoshinda humo ndani na kusifia vitu vya hovyo.sasa milinga au silinde hata wakishinda humo wanachangia nini zaidi ya mipasho.
Pole sana kijana ,hiyo hali tumepitia wengi,but itafika wakati utasahau kabisa,Mungu katuumbia kusahau kijana,pia jaribu kujichanganya usikae muda mwingi mwenyewe na onge na ndugu au marafiki wa karibu juu ya hilo utapata ahueni.Niliwahi achwa nami na binti kama style yako,but now nasonga bila...
Kaka mapenzi hasa hisia hazilazimishwi yani hapo unaweza pata matatizo zaidi ,kama mwanamke mwenyewe kakuonyesha hivyo vyote ,chukua hatua achana naye we sepa na wanao
Tafuta wako huko,mbona unataka kulazimisha mapenzi wewe?ulitaka kumtambulisha akagoma sasa bado inafikiri huyo alikua na time nawe?Acha ujinga wewe mtoto wa kiume
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.