Mimi naomba nitoe maoni kuhusu hawa wafanyakazi wa dawasa...Hivi mfano wale wanao soma meter number!! ili wangalie kma bill ya maji imelipwa au haijalipwa lakini pale unapomkosa mwenyewe... muhusika wa eneo hilo unachukuaje hatua ya kumkatia maji hamuoni kama mnaenda kinyume na taratibu
Sent...
Kuna kauli moja wanasemaga anayetoa ndo anayepewa... so subiri usikie radion au kwenye TV ndo uje ukatume maombi
Sent from my TECNO CC7 using JamiiForums mobile app
Ili swala la upande kwa wenzetu wa visiwani(zanzibar)... kiukweli hawana mila na desturi ya kuongozwana mwanamke ndomana hawautaki muungano wenyewe na hawataki kusikia habari za muungano
Sent from my TECNO CC7 using JamiiForums mobile app
sijawah kuona ungeanza na makadirio ila hakuna asilimia ulizotaja wew!! ukisema asilimia it means!! [emoji3578][emoji3578][emoji817]
Sent from my TECNO CC7 using JamiiForums mobile app
ile shule ya mbeya haijatoa A kwenye somo la dini ya kiislamu mbna top 4 wote wametoka kwao au wote ni Christian
Sent from my TECNO CC7 using JamiiForums mobile app
ila kiukweli huu mfumo wa kuongozwa na wanawake kila mahali utatu cost sna Sasa mpka suzana kuganda akiwa IGP tutatoboka
Sent from my TECNO CC7 using JamiiForums mobile app
Kuna ofisi moja ya mkuu wa wilaya nilienda nikwa nafatilia mambo yangu wakanirudisha nje nikavae barakoa chaajabu wahudumu wa pale ndani na mpka mkuu wa mkoa mwenyewe hajavaa barakoa ,,nimetoka kwenda kununua barakoa narudii ,naambiwa muhudumu kaenda kunywa chai nilimind sana
Sent from my TECNO...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.