jamaaani njooo nikukumbatieHadi natetemeka
Wewe Form three Kuna uelekeo ulifata!Kama kawaida yao tanesco wamekata umeme nahisi mji mzima..
Sijui kwa nini Tz mvua zikianza tuu tanesco wanazima umeme..
Eeh lazima
We jamaa mbona mi nipo Dar sioni mvua wala upepo na umeme nilipo upo?Kama kawaida yao tanesco wamekata umeme nahisi mji mzima..
Sijui kwa nini Tz mvua zikianza tuu tanesco wanazima umeme..
Upepo unasambaa itakuwa poleni vijana wa darmkuu dar ipi unayoongelea,ungetaja tu eneo inakonyesha maana huku nilipo mimi kamenyesha t kamvua kadogo na Sasa kamekata