Nakumbuka huyu mzee aliwahi kusema mala kadhaa pale bungeni kuwa itafika mahali hakuta kuwa na chama cha upinzani kitachokuwa na wabunge, madiwani na hata wenye viti wa vitongoji na watabaki CCM
Watupu bado watanyosheana vidole na hata kugombana wenyewe kwa wenyewe,Na hiki ndicho kinachotokea...
Nimejaribu kufatilia coment za wananchi baada ya Mrisho Mpoto kutoa taarifa za kifo cha mke wake katika ukurasa wake wa kijamii, ila nimeona kwamba kuna wananchi wenye chuki za wazi kwa serikali pamoja na wote wanaowashabikia/ chawa.
Je, hii inawapa funzo gani wale wote wanaokuwa karibu na...
Niko bar hapa kuna kamuhudumu kananipiga chenga kila siku leo kajaa kwenye mfumo nataman nipate juice na mizizi ya babu mabud ili kesho aludi kwao akitembeea kama anataka kupima viwanja shenzi huyu😄😄😄
Kukaza fuvu lako ni kuendeleza kuumia kwa mishipa ya shingo yako mzee hivi kuna mfanyakazi wa serikar anaeweza kukopeshwa kiasi hicho?je kila mwezi malejesho yake yanaweza kuwa kiasi gani na kwa muda gan?na kama yupo jaribu kunifuta vumbi la kichwa maana inawezekana nikawa sijui au kuwahi kusikia?
Mbona kama unatumia nguvu nyingi sana kumbuka ulitaka uthibitisho sasa umeelekezwa ulipoonekana huo uthibitisho unaanza kukaza fuvu kwa vioja vyoko vya kipuuzi,humu hakuna mtu mwenye akili ndogo anaeweza kujiingiza kwenye mtego wa kusambaza taarifa hyo aonekane kuwa ni sehem ya mshtakiwa.kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.