Recent content by Mbuyimayi

  1. Mbuyimayi

    Kuchanganyikiwa na kutokuwa na akili kwa wanaojiita wanaharakati

    Na wazuri kutukana hao na wafuasi wao na kulazimisha mitazamo yao yaani wana akisi mapungufu ya makuzi na maadili kwa upande wao Kama kutakuwa na ICC huyu Mange,Maria , Lissu na Heche wasukumwe nao huko kwa kuleta maandamano ya fujo, uporaji na kusababisha vifo, hata hao wa mzozo wa Palestine...
  2. Mbuyimayi

    Tusitegemee Kuwaona Lissu Na Heche Uraiani kwa Muda mrefu Sana

    Na nashangaa watu wanasema watatoka tena na kama kutoka kwa namna ile ya bila mpangilio na sio kwa njia ya amani na wengine kwenda kupora na kuharibu mali za Wananchi wenzao watafanya pia watu wengine wahami na kulinda Mali zao kwa kutumia silaha mbalimbali na hapo itageuka vita ya wenyewe...
  3. Mbuyimayi

    Wapiganaji wa Iraq: Kuanzia wiki ijayo tutaanza kuishambulia Israel kwa makombora na Drones

    Ni aibu kama Mwafrika tena ni mweusi mwenzangu kaandika haya, lini tutajitambua Mengine hayo ya Vita mtajuana wenyewe japokuwa kwa mtizamo wangu hauwezi kupora ardhi ya mwenzako kwa kisingizio eti nilipewa na imeandikwa kwenye kitabu chako kama vile watu wote tunafata na kuamini katika hicho...
  4. Mbuyimayi

    Nimemchoka huyu mwanamke nataka ni mbwage kistaarabu kuepuka karma ila haelewi kabisa

    Mkuu umekosea ku tag mie pia nime msema huyo kijana maana nina assume ni kijana mwenye maono hafifu maana angekuwa amekua ange behave ki tofauti
  5. Mbuyimayi

    Nimemchoka huyu mwanamke nataka ni mbwage kistaarabu kuepuka karma ila haelewi kabisa

    Unasema alikutesa kihisia ndo umlipe hivyo hivi wewe unategemea ukitongoza tu mwanamke akukubali hapo hapo, sio wote wapo hivyo, na mwanamke wa ndoto zako inaleta maana ukisumbuka kidogo kumpata mkuu na nzuri tayari umempata ingekuwa kama ni sehemu ya kumbukumbu yako kama ungeichukulia kwa uzuri...
  6. Mbuyimayi

    Baada ya Israel kuzima mtandao Gaza Star link kuwasha internet Gaza!

    Hao watu wa Gaza/Palestina wanapitia hayo madhira karibia miongo mingi tu
  7. Mbuyimayi

    Baada ya Israel kuzima mtandao Gaza Star link kuwasha internet Gaza!

    Labda kwa taarifa tu Wapalestina wanao mkubali Yesu Kristo ni wengi kuliko wa Israel (Jews) Kwa ufupi Wapalestina Warabu ni wengi kuliko Jews ambao ni Wakristo
  8. Mbuyimayi

    Wapi wanauza Spares original za Mercedes?

    Pia Mitaa hiyo kama alivyosema mtanguliaji karibu na soko la kisutu na Hotel ya Chef Pride kuna duka linaitwa Tuff spares na duka lingine lipo kama unaenda kule duka la Tronics Morogoro road , linaitwa Morogoro Store pia wana vipuri vya magari ya ulaya, BMW, Benz,Audi, Range Rover na kadhalika...
  9. Mbuyimayi

    Mambo ambayo Mwanaume hupaswi kuyategemea kutoka kwa Mwanamke

    Sex ina nguvu kubwa mno, na ukiitumia vibaya inaweza kukuumiza kimwili , kihisia na kiroho Pia ukiweza kudhibiti na kuto kutoa manii/shawaha ovyo ovyo kuna nguvu ambayo inaweza isieleweke lkn unaipata kuanzia kimwili na kiroho Naungana na wewe mkuu tusifanye ngono ovyo ovyo na tutunze hiyo...
  10. Mbuyimayi

    Nini kimempata CEO wa zamani wa Simba Barbra Gonzalez?

    Upo sahihi January ni Muislam niliisha faitilia maelezo yake Insta aliandika , aliwahi kuishi na bibi yake mkoani Kagera vijijini akiwa mdogo tu kwa umri na akikumbukia kisa cha Muislam mmoja aliekuwa anatafutwa na bibi yake mzaa mama (Mkristo) achinje kuku kwa sababu January alitakiwa kula...
  11. Mbuyimayi

    Wanaodai Rais Magufuli hakuwa anapingwa ni waongo wakubwa

    Kilicho mkuta Ben na hata Lissu ilikuwa ni somo tosha ni mtu gani akikosolewa, wote wanakosolewa na haina shida maana kazi yao lazima wakosolewe , lkn uvumilivu baada ya kukosolewa/maoni tofauti ndo yanawatofautisha mkuu
  12. Mbuyimayi

    Wanaodai Rais Magufuli hakuwa anapingwa ni waongo wakubwa

    Walio mkosoa Mzee Baba wengine mpaka leo hatujui walipo, mfano Saanane na kama Taifa tumeisha sahau hili na kuna familia hawajui mpendwa wao mpaka sasa yupo wapi Alikosolewa lkn hakuwa mvumilivu na kuna muda zilitumika njia za porini, kama kilichotokea kwa Lissu
  13. Mbuyimayi

    Mkasa: Wema ni akiba, usiache kutenda wema

    Dah kweli ameshindwa hata kuainisha hao Classmates maana si kwa huo uwingi alio uweka
  14. Mbuyimayi

    Kitendo cha Jaji Mugasha kukosoa mamlaka hadharani ni utovu wa nidhamu, sio ushujaa

    Sidhani kama ni akili kwa mazingira yetu haya nacho ona anacheza na mazingira ya sasa kwamba Rais ni Mwanamke afu Mzanzibar na tena Muislam ni kama kuna ka wivu hivi Pia issue ya Bandari watu wameanza ku test kina cha Rais na kwa hasa hoja kama hizo tatu juu, lkn hana sijui akili au nini ni...
  15. Mbuyimayi

    Ufyatu 100%: Sababu zinazotolewa hazina mantiki au mantiki hazina sababu?

    Mkuu nia yako iliyofichikana ipo wazi tu, tulia kama kipindi kile mkuu wangu, unaweza kuwa na point moja au mbili lkn hauna uhalali huo kwa historia yako ya ulivyokuwa ktk utawala ule, hauna ukereketwa wala uchungu huo, umetoka ktk Pango kwa ajenda yako ambayo ipo wazi tu
Back
Top Bottom