Ni kweli inauma lkn haina jinsi.Mou namkubali toka yupo Poto. Nilihama Arsenal nikamfuata Chls, nikamfuata Inter,Real na baadaye kurudi darajani.Popote ulipo tupo! Nina imani atarudi Epl, ila akijiunga na Ma U, mmh mtihani, hapo sitakuwa naye kitimu bali mafanikio binafsi! God Bls U Mou!