Recent content by Mbuya Mtani

  1. M

    Koboko (Black Mamba) - Nyoka hatari zaidi duniani

    Hata kamusi ya wanyama ameandikwa koboko mate, cobra
  2. M

    Naomba ufafanuzi juu ya uwekezaji bora wa kupanda na kuuza miti kwa ajili ya mbao

    Miti Ya matunda ni uwekezaji mzuri zaidi mbao..Miparachichi,milimao,mipapai,miembe,migomba,michungwa,nk.. Kutegemeana na sehemu,,,,lkn ni vyema kushirikiana na wadau hasa wazoefu.
  3. M

    DOKEZO Responded Wanafunzi Wilaya ya Mbozi (Songwe) wanalimishwa kwenye mashamba binafsi ya Walimu

    Toa ujinga wako,kwa hiyo wakilima mashamba ya walimu wanapungua nini.. Ndiyo sababu wanafeli ajira siku hizi,magonjwa kibao na uhuni...pia hakuna uhusiano kati yao na walimu,wazazi ujuaji umezidi.
  4. M

    Upasuaji wa bawasiri

    Uchawi tu,inbox ya nini..watu wanahitaji kupata taarifa hizo kwa msaada..Na unaweza kuufanya wazi
  5. M

    Tofauti ya neno "ndio" na "ndiyo"

    Umeanza vizuri halafu ukajichanganya.. maelezo.
  6. M

    Fanya biashara kisasa ukiwa na Lipa kwa Mpesa

    Kuetengeneza Voda lipa ni bure lakini mnacharge,kulikoni?
  7. M

    Naomba kupata mwenyeji Mwakaleli, Mbeya

    Pumbavu kabisa,mtu anauliza kama huna haja ya kumjibu si unanyamza tu.
  8. M

    Wilaya gani nzuri Tanga Kwa kuishi?

    Hajauliza warembo,acha ujinga!
  9. M

    Nataka kwenda kuanza maisha Karagwe, Kagera. Wazoefu nipeni ABC

    Kwani hilo ndio swala amehitaji kujua,acha ujinga!
  10. M

    Nataka kujua kuhusu wilaya ya Ngara mkoa wa Kagera

    Hi Kwani amesema anaenda kugegeda,ujinga umejaa sana vijana..
Back
Top Bottom