Miti Ya matunda ni uwekezaji mzuri zaidi mbao..Miparachichi,milimao,mipapai,miembe,migomba,michungwa,nk.. Kutegemeana na sehemu,,,,lkn ni vyema kushirikiana na wadau hasa wazoefu.
Toa ujinga wako,kwa hiyo wakilima mashamba ya walimu wanapungua nini.. Ndiyo sababu wanafeli ajira siku hizi,magonjwa kibao na uhuni...pia hakuna uhusiano kati yao na walimu,wazazi ujuaji umezidi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.