Recent content by mbutamaseko

  1. mbutamaseko

    Furahia upishi wako na gesi janja (M-GAS) yenye mita janja wala huhitaji kununua mtungi wa gesi tena

    Post za mwanzo kabisa niliwahi kuwatahadharisha kuhusu hawa kopa ha sijui M gas. Jamaa ni wa hivyo sanaaaa
  2. mbutamaseko

    Je, ni nani ana tabia kama zangu?

    Bro acha kupiga punyeto. Hayo yote yataisha. Ukiendelea, soon macho yataanza kupoteza uwezo wa kuona..
  3. mbutamaseko

    Mazishi ya Mzee Ally Hassan Mwinyi kufanyika Unguja: Je, wosia wake umezingatiwa?

    Una uhakika? Au ndio inasemekana?. Kama huna huo wosia au hata clip ya Mwinyi akisema iyasemayo, basi kaa kimya acha watu wamzike baba yao wanapotaka wamzike kwani ni Baba yao na sio Baba yako. Wewe subiri utatekeleza hayo kwa Baba yako.
  4. mbutamaseko

    Kama Mzee wetu Hayati Rais Mstaafu Ali Hassan Mwinyi alizaliwa Kivule, Alifikaje Zanzibar?

    Kwani akizikwa Zanzibar utapata hasara gani? Na akizikwa Mkuranga utapata faida gani? Ni Baba yako au ujuaji tu? Sio kila kitu kinahitaji uchambuzi. Pumbaaavu
  5. mbutamaseko

    Joshua aliwakosea nini HAMAS?

    Alikuwa na pensi ya jeshi. Kwa hilo tu Huenda ilikuwa ngumu kuwaaminisha yeye hayuko Israel kwa shughuli za kijeshi.
  6. mbutamaseko

    Nimebaini mke wangu ana laini mpya

    Juzi tu alikuwa hoi akakimbizwa hosp mpaka mchepuko wako ukazingua. Leo ameanza kuzingua?
  7. mbutamaseko

    Pauline Gekul anastahili kuvuliwa uanachama na kufikishwa mahakamani haraka sana. Amekichafua na kukipaka matope chama

    Huyo ni bendera. Imeona upepo umeelekea kizimkazi na yenyewe imeufuata. Upepo ukigeukia kolomije na yeye anageuzia tako huko huko.
  8. mbutamaseko

    HESLB hizo bilioni 780+ mlizoidhinishiwa na serikali kwa mwaka 2023/2024 mmewapa wanafunzi gani?

    Bro Barikiwa inadvance. Ntamwambia na ntakuchek namba yake.
  9. mbutamaseko

    HESLB hizo bilioni 780+ mlizoidhinishiwa na serikali kwa mwaka 2023/2024 mmewapa wanafunzi gani?

    Sawa. Ila ukimtizama tu. Kama una utu ndani yako lazima usikitike... Ila mama yake ameamua kukomaa( anagonga kokoto mitaa ya Shunu kahama) ili ampambanie mwaka wa kwanza. Sababu kubwa nyingine ni kuchelewa ku apply mkopo na ilisababishwa na kuchelewa sanaa kupata namba ya NIDA. Bro kama una...
  10. mbutamaseko

    HESLB hizo bilioni 780+ mlizoidhinishiwa na serikali kwa mwaka 2023/2024 mmewapa wanafunzi gani?

    Yaani umewaza kama wengi tunavyowaza. Kuna binti katokea Shinyanga huko. Kafika Dar mkopo kakosa. Mama yake ndio unapambana walau hata huu mwaka wa kwanza binti asome akiamini labda mwakani atapata mkopo. Navyoongea sasa hivi kahifadhiwa na rafiki yake hukooo pa kuitwa Pugu na chuo kipo posta...
  11. mbutamaseko

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Deo Kisandu
  12. mbutamaseko

    Wanajeshi wanatuonea sana wakazi wa Kawe. Mamlaka ziingilie kati

    Ndio mtajua hamjui. Unadhani kuonea wengine kwa mwamvuli wa jeshi ndio akili kubwa?
Back
Top Bottom