Mbona kama unamtukana namba 1 ? Kama Gwaji ndio anaoga na kichaa aliyechukua nguo zake ni nani? Kwa nini ufikie hatua ya kumuita kichaa? Msifanye hivyo wazee
Hapana kabisa. Tatizo umemlea ukiwa na matokeo yako mfukoni. Ulitaka awe kama unavyotaka kwa kutumia Fimbo na vitisho. Huo unaoona ujinga au kutokuwa na uwezo wa kufikiri! Ndicho kitu ubongo wake umeona afanye ukidhani ndicho unachotaka ili bakora na ukali wako umuepuke. Kumbe ndio nakosea...
Inaonekana ulimlea kwa sheria kali sana na ulikuwa unamuadhibu kwa kiboko mara kwa mara. Hiyo ilimjengea hofu,uoga na kutokujiamini. Kwa pamoja vitu hivyo vilitawala akili yake kiasi cha akili kukosa fursa ya kujifunza zaidi ya kuwaza adhabu na bakora kutoka kwako. Malezi ya kufoka foka huleta...
Una uhakika? Au ndio inasemekana?. Kama huna huo wosia au hata clip ya Mwinyi akisema iyasemayo, basi kaa kimya acha watu wamzike baba yao wanapotaka wamzike kwani ni Baba yao na sio Baba yako. Wewe subiri utatekeleza hayo kwa Baba yako.
Kwani akizikwa Zanzibar utapata hasara gani? Na akizikwa Mkuranga utapata faida gani? Ni Baba yako au ujuaji tu? Sio kila kitu kinahitaji uchambuzi. Pumbaaavu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.