Recent content by Mbusule Ndelya

  1. M

    Lowassa: Tuzo ya amani imewaumbua CCM

    Ungemwambia afute kauli yake ya kuomba kura za kidini ,halafu ndo useme acha ubaguzi ,ndo wamempa tuzo ni walutheri Wala sio uongo
  2. M

    Lowassa: Tuzo ya amani imewaumbua CCM

    Labda tuzo ya dini ya walutheri
  3. M

    GE2015 Dr. W. Slaa ni fisadi kuliko Lowassa

    Kwani nani aliyesema lowasa ni fisadi baada ya kufanya uchunguzi ,na kumuweka lowasa ktk list of shame ,ni nani tena aliyesema lowasa ni msafi na hayupo ktk list of shame ,si ni nyie wale wale ..leo mnasema huyu ni fisadi ,kesho mnasema sio fisadi na mlisema mkapimwe akili sijui mmeshapimwa au...
  4. M

    Yaliyojiri Mikutano ya Dr. Magufuli, Dar es Salaam (Kigamboni, Mbagala, Temeke, Ubungo, Kinondoni)

    Kama ingekuwa kuzomea ndo kushinda urais basi malofa mngeshinda kwa kishindo kikubwa lkn zomeeni saaaana ,maana ninyi ni mafundi wa kuzomea ,ila mjue ikulu yenu ni monduli sio magogoni
  5. M

    Nimepigiwa simu na Dr Magufuli akaniomba kura

    Magufuli Hana hofu ya kushinda waliowapigia cm ni wengine sio yeye Wala huo muda Hana
  6. M

    Dr. Eve Hawa Sinare atangaza Kuhama CCM

    Ccm itashinda tu na wewe ukiondoka
  7. M

    Dr. Eve Hawa Sinare atangaza Kuhama CCM

    Hata aondoke ,ushindi wa uko palepale naye mjinga mmoja tu ,kwani Kala maharage ya wapi huyo
  8. M

    Nape: CCM itashinda tu uchaguzi mkuu ujao hata kwa goli la mkono

    Kushawishi wananchi wakae vituoni kulinda kura hilo,ni kosa la kushtakiwa ICC Wala sio kauli ya goli la mkono ,na ilitolewa Mara moja tu lkn kulinda kura ni hatari mno kwani ni kuhanasisha watu kuvunja amani ,na Siku hizi mnaitwa makamanda mnaandaliwa kwa vita ,ni hatari mno
  9. M

    Magufuli azomewa Mwanza

    Nyie watu wa ukahawa mmshachanganyikiwa tyr mna mawenge sana ,,unatuonesha pisha ya mbeya kwa malofa wengi ,hadi unasema ni Mwanza ,inabidi tukupepee
  10. M

    Magufuli ashindwa kuhutubia Misungwi

    Wewe kweli ni kiazi ,Magufuli kahutubia zaidi ya saa 1 kiwewe kimewakuta nyie watu wa ukahawa acha usiwapotoshe malofa
  11. M

    UKAWA na Lowassa ni Vigeugeu

    Hawawezi kuamini hadi 25october
  12. M

    Kila nikiikumbuka ESCROW siitaki kuisikia CCM!

    Kumbuka na Richmond ,dowans yote
  13. M

    CCM waweke ushahidi hapa, Magufuli ashindwa kufanya mkutano wowote Monduli

    Mkuu Kama unataka ushahidi subiri October 27 au 28 utaupata
  14. M

    Natafuta mchumba

    Kwani we ni bikira au ulisha bikiriwa
Back
Top Bottom