Kwani nani aliyesema lowasa ni fisadi baada ya kufanya uchunguzi ,na kumuweka lowasa ktk list of shame ,ni nani tena aliyesema lowasa ni msafi na hayupo ktk list of shame ,si ni nyie wale wale ..leo mnasema huyu ni fisadi ,kesho mnasema sio fisadi na mlisema mkapimwe akili sijui mmeshapimwa au...
Kama ingekuwa kuzomea ndo kushinda urais basi malofa mngeshinda kwa kishindo kikubwa lkn zomeeni saaaana ,maana ninyi ni mafundi wa kuzomea ,ila mjue ikulu yenu ni monduli sio magogoni
Kushawishi wananchi wakae vituoni kulinda kura hilo,ni kosa la kushtakiwa ICC Wala sio kauli ya goli la mkono ,na ilitolewa Mara moja tu lkn kulinda kura ni hatari mno kwani ni kuhanasisha watu kuvunja amani ,na Siku hizi mnaitwa makamanda mnaandaliwa kwa vita ,ni hatari mno
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.