Magufuli ashindwa kuhutubia Misungwi

Magufuli ashindwa kuhutubia Misungwi

Wewe ni muongo mkubwa missungwi magufuli amehutubia na kuwanadi madiwani na mbunge wao maarufu kama mawe matatu, pia alimkaribisha mbunge mstaafu shibiriti na mikutanoni palijaa maelfu ya watu Acha kupotosha umma
nimesikitika na nimesikitika sana kuona kila mahali anaposimama anajinadi kutumia kisukuma, i can believe kuwa unaweza kutumia ukabila na ukategemea mimi mngoni kumpigia kura, hapana leo nimechomoa
 
acha uongo mbona wanasema hata startv ilikata matangazoo?? uliza kwa waliokuwa karibu na Tv
Unaleta siasa za kitoto na kipumbav sasa! Ina maana wewe umehadithiwa na hawara yako nawe ukakimbia kuja kupost hapa?
 
Leo mgombea wa ccm Dr Magufuli hakuhutubia jukwaan katika jimbo la misungwi zaidi ya kelele za wasanii.

Magufuli alifika na kupanda jukwaani lakini alipokuwa anatumbuiza fid Q tulishangaa kasimama na kuondoka bila hata kusalimia.

Jambo hili lilisababisha watu wazomee, na hata alipokuwa anaimba fid Q alizomewa pia na kundi la watu nyuma.

Sababu nilisikia kwa mbali kwani nilikuwa nyuma kwamba sijui anawahi kwenda wapi hukoo

Mshaanza kuchanganyikiwa.

Unakuwa mwongo kama yule kahaba wa Bongo movie.

Mwisho wenu ni Jumapili.
 
Leo mgombea wa ccm Dr Magufuli hakuhutubia jukwaan katika jimbo la misungwi zaidi ya kelele za wasanii.

Magufuli alifika na kupanda jukwaani lakini alipokuwa anatumbuiza fid Q tulishangaa kasimama na kuondoka bila hata kusalimia.

Jambo hili lilisababisha watu wazomee, na hata alipokuwa anaimba fid Q alizomewa pia na kundi la watu nyuma.

Sababu nilisikia kwa mbali kwani nilikuwa nyuma kwamba sijui anawahi kwenda wapi hukoo

Hivi viroba ni hatari......?
 
Ningekuwa sikuwepo huko ningeamini ila kwa sababu nilikuwepo live naomba ukalale tu
 
Leo mgombea wa ccm Dr Magufuli hakuhutubia jukwaan katika jimbo la misungwi zaidi ya kelele za wasanii.

Magufuli alifika na kupanda jukwaani lakini alipokuwa anatumbuiza fid Q tulishangaa kasimama na kuondoka bila hata kusalimia.

Jambo hili lilisababisha watu wazomee, na hata alipokuwa anaimba fid Q alizomewa pia na kundi la watu nyuma.

Sababu nilisikia kwa mbali kwani nilikuwa nyuma kwamba sijui anawahi kwenda wapi hukoo

Mi niliangalia mkutano wa ukawa hadi saa 12 kasoro dakika kumi naondoka kwenye tv alikuwa anahutubia Sumaye sasa niulize mzee lowasa alipanda jukwaani saa ngapi na vipi ule mkutano wa Tunduma ulirudiwa
 
We muongo mbona nimeangalia mkutano wake akiwa na Kitwanga? acheni kuchonga ngebe
 
Leo mgombea wa ccm Dr Magufuli hakuhutubia jukwaan katika jimbo la misungwi zaidi ya kelele za wasanii.

Magufuli alifika na kupanda jukwaani lakini alipokuwa anatumbuiza fid Q tulishangaa kasimama na kuondoka bila hata kusalimia.

Jambo hili lilisababisha watu wazomee, na hata alipokuwa anaimba fid Q alizomewa pia na kundi la watu nyuma.

Sababu nilisikia kwa mbali kwani nilikuwa nyuma kwamba sijui anawahi kwenda wapi hukoo

We gebwe kweli! Misungwi alihutubia live star tv, we unasema misungwi gani? Kabla hujadanganya kupata hela za Lowasa fanya utafiti sio unakurupuka kutoka ulevini na kupost.
 
nimesikitika na nimesikitika sana kuona kila mahali anaposimama anajinadi kutumia kisukuma, i can believe kuwa unaweza kutumia ukabila na ukategemea mimi mngoni kumpigia kura, hapana leo nimechomoa

nimeandika sana humu huyu jamaa ni mkabila sana ,watanzania tusiwe wepesi kuruhusu hali hii
 
Ndo maana vijana tumeanza kutoamiwa kwa sababu ya kutumiwa vibaya katika siasa ikiwepo kutoa taarifa za uongo na uchonganishi
Unaposema mgombea hakuhutubiwa unamaanisha wewe ndo uliona peke yako kinachoendea
Acha uongo wa kishabiki usio na tija.
 
Umechanganya!Leo Star tv walikuwa live! Labda "magufuli" wa Jana Tunduma sauti iligoma Mbowe akasingizia Vipaza sauti

Ila tusimshangae sana, kama kiongozi wao ameweza kuwadanganya watu wazima kwamba Lowasa ameshindwa kuhutubia Kwa sababu ya tatizo la vipaza sauti wakati huohuo yeye mwenyewe anatumia hivyo vipaza sauti kuongea na hao watu kwanini wafuasi wake washindwe kudanganya?
 
Siku nyingine mkipewa vimemo, someni vizuri kabla ya kubandika hapa. Mkutano wa Misungwi ulioneshwa LIVE! Hayo uliyoandika ni madharau kwa wanajukwaa hili.

Kwani haujaona alivyohutubia kiluga alafu kasema hivi namalizia haraka nimpandishe msanii jukwaani bila hata aibu unatoa Sera kiluga dar kweli hii Kali ccm chali CCM FIESTA MWANZA ON SUNDAY 16:00-17:57 KIINGILIO BURE WASAANI FQ,AND MAKOMANDOO
 
acha uongo mbona wanasema hata startv ilikata matangazoo?? uliza kwa waliokuwa karibu na Tv
Wewe ndie muongo sababu wote tumeona Startv na hadi Magufuli akamwita Shibiriti na kumtangaza kuwa alikuwa moja wa wadhamini wake wa kwanza alitolewa 10,000.pia tumemuona akimnadi mgombea ubunge jimbo la Misungwi,kitu kama hukijua au kukiona usikurupuke na kusema uongo,ndio maana mnaitwa malofa na wapumbavu
 
Siku nyingine mkipewa vimemo, someni vizuri kabla ya kubandika hapa. Mkutano wa Misungwi ulioneshwa LIVE! Hayo uliyoandika ni madharau kwa wanajukwaa hili.

Hata mm namshangaa huyu kiazi, mkutano umeonyeshwa live na mhe magufuli amehutubia saa nzima, sasa sijui jamaa limekula maharage ya Wapi hili!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom