The Businessman
JF-Expert Member
- Jan 9, 2014
- 7,404
- 9,233
Goli la mkono tumeshaanza kuliona.
hii id imeingiliwa, huyu sio pdidy original.Natanguliza hoja hii muhimu sana ingawa aliesema anaonenakana kituko ila kama mtaapuuzia mtajua alichokuwa anasema maanayake
wakati wa kupeana hints za.kukabiliana na goli la mkononi
mwakajana kimara mwisho kuna.mawakala walikamata mzigo wa kutosha wakakibali kubadilishwa matokeo na kupewa mshindi wa chama kimoja toka tawala
na habari nilizozipata tume ina.mpango wa kutoweka wakala yoyote kusimamia kura za chama chake..nakama n kweli basi tujiandae na hili neno la goli la mkononi..naamini wapinzani hawatakubali hii
kingine mnapojiandaa na mabadiliko .mabadiliko n kura ..n vyema watu wakahimizwa kujiandikisha kupiga kura ..nasema hivi nakumbukukia ya aliekuwa naibu wazirimkuu a.l.mrema ya kusukumwa ubungo mpaka jangwani..kwenye kura mnakumbuka yaliyotokea...
Saaafari ya matumaini nje ya chama ndio imeanza mjiandae
Nape alivua unafiki wote na akasema kitu cha kweli, kilichopo mezani kama plani ya CCM. Kama msemaji mkuu wa chama haiwezekani kumchukulia kama mtu aliyekurupuka. Tume kama refa ipo chini ya control ya serikali ya CCM kwa hiyo Nape anasema wazi kuwa Tume itawabeba....Nape sio kichaa na CCM inafahamu hivyo pia bila shaka kuna kitu chenye ukweli alichokidhamiria.
Sisi tunasema hivi, safari hii hata BEKI atadaka, hilo bao lao la MKONO sijui litapitia wapi?