Recent content by mbusage

  1. mbusage

    Pikipiki za masafa marefu (Cross countries)

    Bike nenda zenjii mwenyewe usiagize mtuu wako na mabike ya uhakika sanaa huko me pia yangu nilichukulia huko
  2. mbusage

    Changamoto baada ya kubadili kioo cha iphone 11 pro

    Hahahahaa kujua kuandika sio kuwa na kila kitu
  3. mbusage

    Changamoto baada ya kubadili kioo cha iphone 11 pro

    Habarini wakuu mbalimbali nina changamoto ya simu yangu kujizima mala kwa mala baada ya kubadili kioo chake og.maana nilipata ajali kikaweka wino mwisho kikawa hakioneshi kabisaa. Tangia nilipobadili kioo kuna muda display huwa inakuwa kama imezima na ukipiga simu inaita but kioo hakiwakii. Na...
  4. mbusage

    Wauza smartphone tukutane hapa

    Nauza Xiaom A2 lite natumia now mwenye kuhitaji anicheki 280 0769508728
  5. mbusage

    Wale wote wanaotumia bidhaa za kampuni ya Xiaomi tukutane hapa ili kupeana ujanja

    Nauza Xiaom A2 lite natumia now mwenye kuhitaji anicheki 280 0769508728
  6. mbusage

    SAMSUNG HOME THEATER INAUZWA BEI POA

    Bado ipooi
  7. mbusage

    Mada maalum ya magari: Uzoefu, ushauri na maswali

    Hii Kama upo interested njoo tuongee
  8. mbusage

    Mada maalum ya magari: Uzoefu, ushauri na maswali

    Me ninayo ninatembelea Mimi ninauza njoo na ofa yako 0769508728
  9. mbusage

    Nilichanjwa dawa ya kupendwa na wasichana

    Ngoja mkaaa ukoleee
  10. mbusage

    Mada maalum ya magari: Uzoefu, ushauri na maswali

    Nataka hiyo garii niiongezee bampa Kama hiyo picha namba mojaa katika kila upandee huku moshi wanachonga za batii ambae amewai kufanya hivo anipe changamoto alio wai kutana nayo pia Kama unawajua Wana wanao weza fanya hiyo kazi kwa umakiniii nijuze hapaaa... Sent from my Mi A2 Lite using...
  11. mbusage

    Mada maalum ya magari: Uzoefu, ushauri na maswali

    Utanii au siliaz[emoji16][emoji41] Sent from my Mi A2 Lite using JamiiForums mobile app
  12. mbusage

    Rais Magufuli Unasababisha Chuki na Uchochezi Dhidi ya Wachaga

    Wakina mushi ni matata sanaa Sent using Jamii Forums mobile app
  13. mbusage

    I have been scammed 1,100$ through Forex

    Huo sio uwekezaji mdogo pikipikii 5 kwa m2 sawa na m10 bahaji 5 bajaji moja ni m7 ..bado mgahawa bado saloon.hahaha eti uwekezaji mdogo Nani kasemaaa Sent using Jamii Forums mobile app
  14. mbusage

    PARIS, UFARANSA: Polisi wanne wafariki duni baada ya kushambuliwa kwa kisu

    Duu police wa huko wanaandamana hahaha sipati picha huku bongo wakiandamana watu watakavyo cheza na nyavu fastaaa..
Back
Top Bottom