mbusage
JF-Expert Member
- Oct 8, 2014
- 447
- 121
Habarini wakuu mbalimbali nina changamoto ya simu yangu kujizima mala kwa mala baada ya kubadili kioo chake og.maana nilipata ajali kikaweka wino mwisho kikawa hakioneshi kabisaa.
Tangia nilipobadili kioo kuna muda display huwa inakuwa kama imezima na ukipiga simu inaita but kioo hakiwakii. Na inaweza kaa mudaa flanii hivii ikajiwasha yenyewe.
Je tatizo hasa ni ninii? Ili niweze kulitatuaa?
Tangia nilipobadili kioo kuna muda display huwa inakuwa kama imezima na ukipiga simu inaita but kioo hakiwakii. Na inaweza kaa mudaa flanii hivii ikajiwasha yenyewe.
Je tatizo hasa ni ninii? Ili niweze kulitatuaa?