Mtaani kwetu tunanunua kilo kwa 3200, kura yangu niliyowapigia upinzani haijawawezesha kuiongoza Tanzania lakini nafarijika mimi si miongoni mwa waliochagua serikali hii
Wadau heshima kwenu,
Nauza mitetea wa kienyeji waliofikia umri wa kutaga kwa bei ya shilingi 17000 kila mmoja. Wana maumbo makubwa na wanafaa kwa kufuga au kwa nyama. Nipo Tabata, lakini naweza kukuletea popote Dar es salaam kama ukichukua kuanzia 10.
Vile vile wapo majogoo wakubwa kwa ajili ya...
Unadhani ni kazi ya chama cha siasa kugawa futari? Je unadhani waislamu tunahitaji sana kusaidiwa futari ili tuweze kutekeleza ibada ya swaumu? Huoni kwamba kumpa mtu mlo mmoja na kisha ukamtangaza kwa kila aina ya vyombo vya habari ni kumdhalilisha? Kwa taarifa yako wenye akili tunafahamu ya...
Kiongozi wa serikali kutoa kauli ya kichochezi kama hii, tena katika taifa ambalo tayari kuna malalamiko mengi juu ya uonevu wa askari polisi dhidi ya raia ni kiashirio cha upungufu mkubwa wa hekima! Hii inatufanya tuamini kwamba polisi wanaonyanyasa raia hawafanyi hivyo kwa utashi wao binafsi...
Wanavyohangaika 'kumsafisha' ndio wanavyozidi 'kujichafua' na kuthibitisha ya kwamba chama chao ni CHAMA CHA MAJANGIRI. Hili genge la majangiri kama lisiposambaratishwa watoto wa kitanzania watakaozaliwa miaka michache ijayo hawatabahatika kuwaona 'the largest terrestrial mammals'...na lawama...
Ndugu kasweet,
nami pia nimawazo ya kuazisha biashara ili niweze kujikwamua. Tayari nimebuni biashara na mchanganuo wangu unahitaji mtaji usiopungua mil 2, kinachonikwamisha kwasasa nina mil 1 pekee. Kama ukotayari tunaweza kuwa washirika kwa kuunganisha mitaji na kufanya biashara pamoja. Kama...
Nianze kwa kusema kwamba sijaweza kuthibitisha kama ngombe ni wengi kuliko paka kwa kuwa sijaona utafiti wanamna hiyo!
Lakini kama hivyo ndivyo haishangazi kutokana na kanuni za ki-ikolojia kama ifuatavyo:
1. Wanyama wenye maumbo madogo hukua na kupevuka kwa haraka, vile vile huishi kwa...
Jambo la muhimu ni kuhakikisha kila mwanafunzi anapata mahitaji na mazingira bora yanayomuwezesha kujifunza na kuonyesha kipaji chake kwa ufanisi wa hali ya juu. Aidha swala la kuwagawa wanafunzi katika madaraja tofauti ya ufaulu ni muhimu liendelee kuwepo ili kuwahimiza wanafunzi wajifunze kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.