Jamani kwa wauza maduka, kuna aliewahi kupewa dawa ya kuvuta wateja ikafanya kazi na akashuhudia matokeo chanya live bila chenga???
Hakyamungu mwenzenu hapa nashuhudia maajabu!!!!!!!
N.B sitangazi biashara tunashare experience tu
Kuhusu tetesi za simba najua tutadnganyana tu. Simba wamekuwa wasiri sana toka mara aondoke.
Hata kwa makocha watu hadi wanaojiita wachambuzi walichemka.
Nimeanza sasa hivi wakuu, pamoja na NO SEX,pia nimedhamiria kuancha baadhi ya tabia na kuongeza nidhamu katika baadhi ya maeneo.
★Hakuna kutongoza
★Kuamka ni saa 6:00 asubuhi
★kufanya mazoezi
★Meditation kila siku
★No sex
🎶🎶Maliza mishe mishe unipitie/
Kabla hujaondoka unitwangie/
Kuna chocho tujichimbie/
Kuku wengi ujichinjie
Twende tuka-blow up
Tuka-blow up
Night tuka-blow up
Tuka-blow up🎶🎶🎶
Sawa..let's assume uko sahihi.
Naomba utuelezee mechanism ya jua kutembea na kuonekana tena baada ya masaa kadhaa wakati kuna sayari nyingine angani. Jua linatumia muda GANI kutembelea sayari zote?
Kwa kutumia concept yako hiyo kuwa dunia ipo stationary, naomba uelezee mechanism ya kupatwa kwa...
Mbona nilishamdunda mmoja hadi akaomba watu wamsaidie kunidondosha chini Ili anipige nikiwa chini!!!
Yule bwege nilimtandika fara yule!!!
Nilimpiga mkasi wa mkono wa kulia kwenye koromeo (upanga ulio katikati ya dole gumba na kidole cha kwanza baada dole gumba), hapo hapo nikaunga na lower...
Mleta mada anaweza akawa mpuuzi. Nilishangaa sana nilipotoa ninachokijua akasema eti nadanganya.
Maanake yeye anaamini kilichosahihi ni kile tu kinachitoka kwake.
Huo si ni upuuzi?? (..eeh ni upuuzi huo)
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.