Recent content by mbogolo

  1. M

    Nitamshangaa sana Mwalimu atakayempigia kura Magufuli

    Walmt watakao pigia ukawa ni wale walioiba vyeti tu! Kama alifaulu na anauelewa hawez kupgia ukawa!
  2. M

    Nitamshangaa sana Mwalimu atakayempigia kura Magufuli

    Walmu c mazezeta wamesoma psychgy hawawez kuchagua mtu anayejinyea na kujkjolea wakat mzima & mchapakaz yupo! #hp kz 2!
  3. M

    GE2015 Hivi kuna mtu mwenye akili timamu atakayempigia kura yake Magufuli na kumuacha Lowassa?

    'Atakaye muunga mkono lowassa apimwe akili' - Msigwa. Kwa iyo nawewe inabid ukapimwe akili!
  4. M

    Dr. W. Slaa anaondoka CHADEMA

    Ye2 macho.
  5. M

    Diwani wa CCM Nzega atimkia CHADEMA

    Amesoma upepo maana hata angebaki ccm acngeshnda, ushndani n mkali sana ndan ya ccm kata ya nata.
  6. M

    Rukwa: Mtoto mwenye ulemavu wa ngozi (Albino) akatwa mkono

    Tatzo watz n wanafk sana, PINDA alisema anayeua nae auawe wabunge wote (ccm+upnzan) wakamshambulia, et hak za bnadam!!
  7. M

    Kwanini Waislamu wanaofanya Mtihani wa EDK(Elimu ya Dini ya Kiislamu) Wanafeli sana?

    ndg yangu hata kama 2kpata 7bu za kufel haitasaidia k2 chochote ktk kuendeleza taifa le2, hamna taifa liloendelea dunian kwa kuendekeza masomo ya dn zaid ya uhasama, ivo n vema 2kajadili masomo mengne ambayo yanaweza yakawa productv kwa nch ye2.
  8. M

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    anayetaka kuja tunduru. 0779688362.
  9. M

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    M n mwl wa sekondari npo tunduru-ruvuma. Natafuta Mwalimu wa kubadilishana nae kituo cha kazi tokea mikoa ya MWANZA, MARA, SIMIU, GEITA NA KAGERA. wasiliana nae kwa: 0787507351.
  10. M

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Niko tunduru ruvuma. kwa yeyote aliyekuwa tayari haya contact hizo 07665381480 au 06821365701
  11. M

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Njoo tunduru, nije mbinga au mbeya. 0682136570
  12. M

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Mimi mwalimu wa sekondari niko wilayani tunduru- ruvuma natafuta mwalimu wa sekondari wa kubalishana nae kituo cha kazi. awe anatoka mbinga, songea, njombe morogoro au mbeya. kwa mawasiliano zaidi tumia 0682136570.
Back
Top Bottom