ndg yangu hata kama 2kpata 7bu za kufel haitasaidia k2 chochote ktk kuendeleza taifa le2, hamna taifa liloendelea dunian kwa kuendekeza masomo ya dn zaid ya uhasama, ivo n vema 2kajadili masomo mengne ambayo yanaweza yakawa productv kwa nch ye2.
M n mwl wa sekondari npo tunduru-ruvuma. Natafuta Mwalimu wa kubadilishana nae kituo cha kazi tokea mikoa ya MWANZA, MARA, SIMIU, GEITA NA KAGERA. wasiliana nae kwa: 0787507351.
Mimi mwalimu wa sekondari niko wilayani tunduru- ruvuma natafuta mwalimu wa sekondari wa kubalishana nae kituo cha kazi. awe anatoka mbinga, songea, njombe morogoro au mbeya. kwa mawasiliano zaidi tumia 0682136570.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.