Diwani wa CCM Nzega atimkia CHADEMA

Diwani wa CCM Nzega atimkia CHADEMA

huyo dogo namjua hawezi kupewa tena,alipokua ccm kaharibusana wana nchi hawampendi
 
Karibuni kwenye safari ya mabadiliko na kwa pamoja tuna uhakika 25 October 2015 ccm tunaizika
 
Joseph K. Malongo ni diwani aliyemaliza muda wake kwa tiketi ya CCM. Ametubu. Ameziacha dhambi zake. Amehamia CHADEMA.

Ni diwani wa kata ya Nata - jimbo la Nzega, amehama na kundi kubwa la wanachama akiwemo mchumi wa CCM kata na aloyekuwa m/kiti wa nata.

Tumewakaribisha, Tumewasamehe dhambi zao. Tunaendelea na ukombozi.
attachment.php


kumbe mna uwezo wa kusamehe
 
huyo dogo namjua hawezi kupewa tena,alipokua ccm kaharibusana wana nchi hawampendi

Twende naye ktk harakati hizi za ukombozi si wote wanaomchukia
 
Karibu sana kwenye vita vya pili vya ukombozi wa pili wa nchi hii. Umesamehewa dhambi zako!
 
Namuona babu wenu katia like tu, hataki kabisa kujibu shutuma za kulazimisha agombee urais
 
huyo anaonekana kabisa yupo kimasilahi. kaona uchaguzi wa serikali za mitaa chadema ilishinda hapo, kajua na uchaguzi wa madiwani utakuwa hivyo hivyo. kama nakuletea matokeo ya serikali za mitaa uliopita hivi karibuni.



Joseph K. Malongo ni diwani aliyemaliza muda wake kwa tiketi ya CCM. Ametubu. Ameziacha dhambi zake. Amehamia CHADEMA.

Ni diwani wa kata ya Nata - jimbo la Nzega, amehama na kundi kubwa la wanachama akiwemo mchumi wa CCM kata na aloyekuwa m/kiti wa nata.

Tumewakaribisha, Tumewasamehe dhambi zao. Tunaendelea na ukombozi.
attachment.php
 
Siasa mi siielewi kabisa....wakiwa CCM ni Mafisadi ,wakihama ni watu safi!Wanasiasa msicheze na akili za watanzania ipo siku ukweli utakuwa wazi na nyote mtaadhibiwa.

Ngoja nikueleweshe hao wamegundua kwamba CCM ni mafisadi ndio maana wametoroka mkuu.wameelimishwa.
 
Joseph K. Malongo ni diwani aliyemaliza muda wake kwa tiketi ya CCM. Ametubu. Ameziacha dhambi zake. Amehamia CHADEMA.

Ni diwani wa kata ya Nata - jimbo la Nzega, amehama na kundi kubwa la wanachama akiwemo mchumi wa CCM kata na aloyekuwa m/kiti wa nata.

Tumewakaribisha, Tumewasamehe dhambi zao. Tunaendelea na ukombozi.
attachment.php
Karibuni kwa wazalendo wa nchi UKAWA
 
Hata mie nastaajabu haya ya Musa. hawa jamaa wa CCm wamekuwa wanapewa kila iana ya majina mabovu pamoja na ufisadi. Sasa wanatimkia Chadema wanaonekana lulu. Kulikoni, au huko Chadema hakuna sifa za kuwa kiongozi.

Unatubu dhambi zako,suti zako utavaa kanisani na kwingineko then unakuw member wa kawaida ukiwa ndan ya magwanda ya kikamanda,kwan CDM wanajitambua na kuwatambua.
 
UKIWA MTENDA DHAMBI BAADA YA KUFANYA TOBA HUWEZ KUWA LULU?
Think beyond ur doubt brother if not sister
 
Amesoma upepo maana hata angebaki ccm acngeshnda, ushndani n mkali sana ndan ya ccm kata ya nata.
 
Back
Top Bottom