Recent content by mbmb

  1. M

    CHADEMA ondoeni aibu

    Mkuu nimekumbuka kumbe ndiyo maana mmeenda Ikulu kujenga historia ambayo haijawahi kutokea. MMEKWENDA KUTAFUTA WATOTO IKULU MAHALI PATAKATIFU? Kweli ukisema ofisi zenye viyoyozi sikushangai. Haijawahi tokea raisi wa nchi akaenda kudu ikulu hadi kupatikana machild poleni
  2. M

    Chadema washikwa pabaya watengeneza UONGO usio na nguo kuhusu Nape.

    Ngamia Sasa hapo umekosea! bora useme ukweli kuwa sasa hamna chenu Nepi ohh samahani nimekosea Nape alizomewa nami nilikuwepo acha umbeya wa kuwadanganya watu. Nakushauri urudi uwaombe radhi jamaa zako wa Jf. Hapo apana rafiki yangu umedanganya.
  3. M

    Nape Nnauye: Toka moyoni mwangu

    Kaka wewe ni kijana bado, angalia unakokwenda lkn pima upepo unakoelekea kwa kufanya tathmini kule ulikotoka. Miaka mingi sana nilikuwa nikipenda sana chama cha mapinduzi, lkn kwa mtu yeyote anayeangalia chama cha mwaka 1995 tu na kilichopo sasa hawezi hata kuinua mdomo kutetea uozo uliomo...
  4. M

    Mwenyekiti wa CHADEMA Usa River auwawa kinyama

    Kwa hili naunga mkono, viongozi cdm toa kauri tuanze kazi. Hii ni dharau wameua wangapi tuendelee kufa sisi tu. Tuko tayari nasi kulipa kisasi. Mungu laza roho ya merehem mahali pema AMEN
  5. M

    Je Gwanda za Chadema zinauzwa Mahali..???

    Hizi za jeshi la kiraia ndio mali bro. chama ni cha wananchi si cha jeshi hii inawajumuisha wote wa mabakamabaka na raia kwa kuwa ni mali yao wote
  6. M

    Endapo Mawaziri watagoma kujiudhuru

    Pengine kama kweli nchi hii inawatu makini nadhani kwa hili lilikuwa jepesi sana kuwashawishi wananchi kuingia barabarani na kukataa ubadhirifu huu. kwenda barabarani kuomba kurudishiwa kura zetu ndiyo inaweza kuwa majibu kama mawaziri hao hawajajiuzuru
  7. M

    Mzee Pinda linda heshima yako - Jiuzulu tu

    Hii ya mh. MP kujiuzulu naiunga mkono. Sababu ni kuwa hata angeng'ang'ana bado mchakato wa kutokuwa na imani haumwachi. Zaidi ya hapo kama kikombe hiki kikimpita kunamadhara makubwa sana katka chama au kwa kiongozi wa juu zaidi katika hili kama kweli makamanda wetu wamedhamiria kutenda haya kwa...
  8. M

    Zitto kuwasilisha hoja J3 wamo wabunge watano wa CCM

    Ndugu zangu ni juzi tulikutana hapa mkampamba sana mbunge wa Mbozi Mashariki Bwana Godfrey Weston Zambi kuwa ni mwanaharakati na msema kweli baada ya kuwahadaa kwa mbwembwe eti anadhamira ya kweli juu ya maslahi ya wananchi. Sasa niwaulize je anadhamira ya kweli kama ndugu yetu Deo? Je huyu...
  9. M

    Kumbe hata baadhi ya Wabunge wa Upinzani wanapokea Rushwa!

    NADHANI UNGEPUMZIKA KWANZA STRESS ZIPUNGUE ALAFU UKARIBIE HAPA JF. Kwa hakika hatuwezi kukuelewa hata kidogo, upinzani hatutoi rushwa kama unavyodai, ila ssm wakitoa tunakula lakini kura hatukupi. Wewe umetoa rushwa alafu tukupe kura ili ukafanye nini kwa wananchizaidi ya kwenda kurudisha pesa...
  10. M

    Bungeni kwawaka moto, ripoti za kamati zaibua mjadala mkali!

    Zambi huyu ailiyekimbia jimbo lake nae amesema, nampongeza lakini akawaombe msamaha wananchi wake kuwa aliingia kwa zengwe sasa wamkubalie amalize muda wake. Lakini sijui ataanzia wapi manake wanambozi mashariki hawataki kumsikia zambi amebaki yeye na mkurugenzi wake huyo gamba tu.
  11. M

    Bungeni kwawaka moto, ripoti za kamati zaibua mjadala mkali!

    Kwa hakika nami nimekapenda kamuvi haka. Masikini ssm ulituibia sasa unakufa siji msibani kwa heri lakini tutaonana segerea.
  12. M

    Bungeni kwawaka moto, ripoti za kamati zaibua mjadala mkali!

    Weweinaonesha Godfrey Zambi humufahamu vizuri. Huyu ni mbunge wa Mbozi Mashariki Mbeya ambaye hana mfuasi hata mmoja. Alishinda uchaguzi kwa mizengwe na tangu alipopewa jimbo hajawahi kukanyaga Mbozi kuzungumza na wannchi wake ila na mkurugenzi wake aliyempa jimbo baada ya kufanya dhuluma kwa...
  13. M

    James Millya Mwenyekiti wa UVCCM Mkoa Arusha ajivua GAMBA akimbilia Chadema

    jamani msishangilie mambo haya, kwa hakika yanafurahisha wanaharakati na bado ni pigo kwa chama tawala. Naomba msidhubutu kumpa ugombea bwana Milya akae kijiweni kwanza wakati tunamchunguza baadae tukijiridhisha nae tutampa nafasi mpiganaji wetu.
  14. M

    James Millya Mwenyekiti wa UVCCM Mkoa Arusha ajivua GAMBA akimbilia Chadema

    Mimi nawashauri wana jf na CDM kwa ujumla. Kama mwanachama nafurahia sana mafanikio haya ya kuvuna wanachama kutoka chama tawala, lkn bado siwaamini kwani wanaweza kutumwa kujitoa mhanga ili watuache hatuna kitu cha matumaini tena. Maoni yangu ni kuwa atazamwe kwanza kabla ya kupewa majukumu...
  15. M

    Taarifa ya Msimamo wa CDM Juu ya Uteuzi wa Tume ya Mchakato wa Katiba Mpya

    Inaogopesha sana kama wakombozi wa nchi hii tunaowategemea kutukomboa leo hii mnaanza kushambuliana kwa sababu za kijinga. UDINI. Mtu mwenye fikra hizo hafai kuingia cdm chama cha ukombozi. Hana mawazo ya kikamanda anaongozwa na misimamo ya kidini ambayo hata ukweli juu ya misimamo hiyo haujui...
Back
Top Bottom