SABODO, alituahidi na tuna uhakika hatatuangusha!
hakuna cha upinzani hapa tanzania wote wahemea matumbo na kuropoka tu majukwaani,,hao ndo wanataka kutawala kwl?miaka 20 si kidogo mjipange mnatia aibu!!HARAFU HAPA JF KUNA WATU SIJUI WAKOJE YAANI IKITOKEA UKAIKOSOA CDM UNAANDAMWA SANA,,HIVI MBOWE NA SLAA WAO NI MALAIKA??CHAMA HAKIWEZI KUJENGWA KWA KUSIFIWA TU BILA KUKOSOLEWA,mtaua chama kwa mtindo huu wa kipuuz na kijinga
Chadema kimejaa ukiritimba wa hali ya juu. Ruzuku inaishia kugawana posho za maandamano.
Mkuu nimekumbuka kumbe ndiyo maana mmeenda Ikulu kujenga historia ambayo haijawahi kutokea. MMEKWENDA KUTAFUTA WATOTO IKULU MAHALI PATAKATIFU? Kweli ukisema ofisi zenye viyoyozi sikushangai. Haijawahi tokea raisi wa nchi akaenda kudu ikulu hadi kupatikana machild poleniChama ambacho kinashika namba 2 kwa kupata ruzuku, kimeshindwa kupata ofisi yenye hadhi katika manispaa ya Temeke. Ofisi ya wilaya ni fedheha tupu ipo mkabala na Kisuma Bar Mwenbe Yanga hivyo inakuwa ni kero kwa wanachama kutembelea ofisi.
CHADEMA badilikeni!! Ruzuku mnapata, mnamalizia katika maandamano??
Chama ambacho kinashika namba 2 kwa kupata ruzuku, kimeshindwa kupata ofisi yenye hadhi katika manispaa ya Temeke. Ofisi ya wilaya ni fedheha tupu ipo mkabala na Kisuma Bar Mwenbe Yanga hivyo inakuwa ni kero kwa wanachama kutembelea ofisi.
CHADEMA badilikeni!! Ruzuku mnapata, mnamalizia katika maandamano??
SABODO, alituahidi na tuna uhakika hatatuangusha!