Taarifa ya Msimamo wa CDM Juu ya Uteuzi wa Tume ya Mchakato wa Katiba Mpya

Ipingen hii TUME mpate kwenda kukalia tena sofa za ikulu na kunywa chai na mafisad huku mkipongezana!!!

Hata ndani ya moyo wako na akilini, unajua kuwa kamwe hiyo haijawahi kuwa nia ya CHADEMA. The prime goal hapa ni kupata katiba mpya na bora. Katika suala hili viongozi wa CHADEMA, wanachoona mbele yao na kuzingatia ni maslahi ya Watanzania. Peiod. Mkubwa what is juice, what is sofa, what is chai, what is kupongezana? Mbona vyote havina hata chembe ya kuweza kuwa juu ya suala nyeti linalohusika katika mazungumzo hayo.

So far kila mmoja anayeweza kuyaangalia masuala haya kwa macho matatu anajua mchango mkubwa wa CHADEMA hadi kufikia hapa, ikihusiha mazungumzo na watu wengi, ikiwemo hayo ya ikulu.
 
Tume imedhihirisaha kwamba Zanzibar ni nchi sawa na Tanganyika. Nchi moja imetoa wajumbe 15 na nchi nyingine wajumbe 15!
 
Mimi sijarizika na wajumbe wa upande wa Tanganyika kati ya wajumbe 15; wanne tu ndio waislam kwanini? ina maana Tanganyika inawakilishwa na wakristo tu?

mkuu hongera, um,ufanikiwa kupoteza direction yawachangiaji..tayari wapo nje ya mada..big up
 
Hata ndani ya moyo wako na akilini, unajua kuwa kamwe hiyo haijawahi kuwa nia ya CHADEMA. The prime goal hapa ni kupata katiba mpya na bora. Katika suala hili viongozi wa CHADEMA, wanachoona mbele yao na kuzingatia ni maslahi ya Watanzania. Peiod. Mkubwa what is juice, what is sofa, what is chai, what is kupongezana? Mbona vyote havina hata chembe ya kuweza kuwa juu ya suala nyeti linalohusika katika mazungumzo hayo.

So far kila mmoja anayeweza kuyaangalia masuala haya kwa macho matatu anajua mchango mkubwa wa CHADEMA hadi kufikia hapa, ikihusiha mazungumzo na watu wengi, ikiwemo hayo ya ikulu.
Mkuu baada ya ule mkutano wa wa pili wa Ikulu watu tulipiga kelele humu JF juu ya usiri wake. Alikuja Dr. Slaa akasema taarifa rasmi itatolewa baada ya vikao vilivyowatuma kuketi. Lakini Mkuu hadi leo hiyo taarifa haijatoka na Tume imeteuliwa. Mnasema mtatoa taarifa juu ya Tume. Je hiyo taarifa itaunganisha na ile taarifa ya mikutano ambayo Dr. alituahidi hapa kuwa ataitoa? Mkuu ahadi ni deni; ni kweli watanzania ni wasahaulifu lakini kwa hili nadhani wengi hawajasahau.
 
Katika mjadala wa katiba mpya,hakuna suala lisilojadilika isipokuwa yale ya faragha tu,kama vile staili za kufanya mapenz,nk.si ujinga kujadili masuala ya udini,wala si kumkumbusha mwenzako kuwa amesahau kusema suala fulani,hilo linatakiwa liwe lako wewe uliyekumbuka,hivyo litolee maoni mwenyewe
 
Ipingen hii TUME mpate kwenda kukalia tena sofa za ikulu na kunywa chai na mafisad huku mkipongezana!!!

Hata ndani ya moyo wako na akilini, unajua kuwa kamwe hiyo haijawahi kuwa nia ya CHADEMA. The prime goal hapa ni kupata katiba mpya na bora. Katika suala hili viongozi wa CHADEMA, wanachoona mbele yao na kuzingatia ni maslahi ya Watanzania. Peiod. Mkubwa what is juice, what is sofa, what is chai, what is kupongezana? Mbona vyote havina hata chembe ya kuweza kuwa juu ya suala nyeti linalohusika katika mazungumzo hayo.

So far kila mmoja anayeweza kuyaangalia masuala haya kwa macho matatu anajua mchango mkubwa wa CHADEMA hadi kufikia hapa, ikihusiha mazungumzo na watu wengi, ikiwemo hayo ya ikulu.
 
Katika mjadala wa katiba mpya,hakuna suala lisilojadilika isipokuwa yale ya faragha tu,kama vile staili za kufanya mapenz,nk.si ujinga kujadili masuala ya udini,wala si kumkumbusha mwenzako kuwa amesahau kusema suala fulani,hilo linatakiwa liwe lako wewe uliyekumbuka,hivyo litolee maoni mwenyewe

Teh teh. Staili hazijadiliwi ila haki ya faragha na kufanya mapenzi bila bughudha linakuwepo kwenye Bill of Rights!
 
Kwanini aisee? kweli nimesikitika sana JK kuchagua viongozi wakuu wa tume wakristo (chair na makamu) wake..hii katiba lazima itakuwa na elements za kikanisa ...bado sijarizika au unaona sawa

Kwanini katika watu 15 wa Tanganyika 4 tu ndio wawe waislam (very unfair representation of muslims in tanganyika)

call a spade spade .... wewe ni mdini na udini hautakusaidia au kukuongezea chochote hapa duniani ..... inaonyesha wazi ulivyo na elements za chuki na hii inatokana na background yako katika chochote kile ukiaminicho na usicho kiamini .... kubwa zaidi unaonyesha roho ya ubinadamu kwako haipo kwa ajiliya masuala haya ya kidunia kama katiba na kuingiza upandikizi wa kuwagawanya binadamu ....

more likely .... sounds like you have been brain washed by fanaticism who believe on hatred
 
Hata ndani ya moyo wako na akilini, unajua kuwa kamwe hiyo haijawahi kuwa nia ya CHADEMA. The prime goal hapa ni kupata katiba mpya na bora. Katika suala hili viongozi wa CHADEMA, wanachoona mbele yao na kuzingatia ni maslahi ya Watanzania. Peiod. Mkubwa what is juice, what is sofa, what is chai, what is kupongezana? Mbona vyote havina hata chembe ya kuweza kuwa juu ya suala nyeti linalohusika katika mazungumzo hayo.

So far kila mmoja anayeweza kuyaangalia masuala haya kwa macho matatu anajua mchango mkubwa wa CHADEMA hadi kufikia hapa, ikihusiha mazungumzo na watu wengi, ikiwemo hayo ya ikulu.

kumbe nia ya CDM ni ipi?kutumia KAULI YA MASLAHI YA UMMA kwaajil ya maslahi yao wenyewe!!!hivi iko wapi ile taarifa ya kikao chenu cha pili pale ikulu?au ndio zile picha mlizopiga mkikumbatiana na mafisadi!!!!!
 
kuhusu mchakato ni wajumbe sio wabaya,ila upande wa dini kutoka zanzibar ni haki yao kwani wazanzibar 99% ni waislam au utapinga hilo,halafu ni nchi mbili tofauti kati ya wajumbe kutoka Tanganyika na sisi Wazanzibar na sisitiza nyie ni Watanganyika na Sisi ni Wazanzibar mila na desturi zetu ni tofauti na ndio maana hatuutaki muungano kwani lazima! hata nyerere baba yenu analitambua hilo.amesema mpka amechoka muungano mie naomba uvunjike turudishe dola la kiislam zanzibar anaechukia na achukie.
 
Mimi sijarizika na wajumbe wa upande wa Tanganyika kati ya wajumbe 15; wanne tu ndio waislam kwanini? ina maana Tanganyika inawakilishwa na wakristo tu?

Mfumo kristo ndio unaotawala dunia. Hata babako Maalim Seif anawalamba Miguu wakristo!
 
kumbe nia ya CDM ni ipi?kutumia KAULI YA MASLAHI YA UMMA kwaajil ya maslahi yao wenyewe!!!hivi iko wapi ile taarifa ya kikao chenu cha pili pale ikulu?au ndio zile picha mlizopiga mkikumbatiana na mafisadi!!!!!

Mataputapu bin ushuzi
 
Mimi sijarizika na wajumbe wa upande wa Tanganyika kati ya wajumbe 15; wanne tu ndio waislam kwanini? ina maana Tanganyika inawakilishwa na wakristo tu?
Udini utakutoa roho mjinga wewe! kwani wajumbe 15 kutoka Zanzibar kuna wakristo wangapi? Huna maana hata kidogo, watu kama ninyi hamfai hata kuutetea uislam wenyewe kwani huna hata chembe ya busara inayohitajika na uislam.
 
Na albino nao hawana mwakilishi.

Inaogopesha sana kama wakombozi wa nchi hii tunaowategemea kutukomboa leo hii mnaanza kushambuliana kwa sababu za kijinga. UDINI. Mtu mwenye fikra hizo hafai kuingia cdm chama cha ukombozi. Hana mawazo ya kikamanda anaongozwa na misimamo ya kidini ambayo hata ukweli juu ya misimamo hiyo haujui. Naomba nimfukuze kwenye huu mtandao wa kijamii kwani hana cha kuwafunza wanajamii. IMANI NA UKWELI NINI ZAIDI? NENDA SHULE KATOE UJINGA HUO
 
Udini utakutoa roho mjinga wewe! kwani wajumbe 15 kutoka Zanzibar kuna wakristo wangapi? Huna maana hata kidogo, watu kama ninyi hamfai hata kuutetea uislam wenyewe kwani huna hata chembe ya busara inayohitajika na uislam.

Achana nae huyo, tuachie sisi ndo tunammudu. Huyo ni wa genge la Kundecha
 
-zaimba wajumbe 15 bara wajumbe kumi na tano.
-zanzibar waislam 8 bara wakristo 8.
-Kabudi nje shivji ndani
- ananilea nkya ndani
-Mwenyekiti wa walemavu ndani kwigla(yule albino mbunge) nje.
 
Yaani waislamu ni wa 4 tu kwa bara si haki sijaipenda hii tume
Kwa kigezo gani umejua ni waislam ni wanne tu? Je wahindu wako wangapi? dini za asili nao wanawakilishwa na nani! hivi ninyi wenye akili makalioni ni lini mtaanza kufikiri kama binadamu?
 
Back
Top Bottom