Atambana nani wakati wa kumbana wana share humo? mie nakubaliana na wanaosema twaigiza.Kwa ufupi hii ni nchi ya kisanii, na kwa hali hii hatuwezi kupiga hatua moja mbele coz we're not serious.Inasikitisha kwa ubinafsi ulotuvaa au rather tulouvaa.
Mkuu waandika bila mawazo yako kupitia kichwani.Katika wizara za huduma kama Elimu wategemea kukusanya nini as hawafanyi biashara?OC [other charges]ni pesa ya kuendesha ofisi, baadhi ya watumishi wa umma wameshinikizwa na hali[ya kutoletewa OC] kutumia mishahara yao kununulia vitendea kazi ili...
Acha umbea mtoto wa kitanzania na pia acheni kuendekeza umaskini.Nashauri tushangilie maendeleo ya wenzetu ili nasi tuwe na maendeleo.Kwa zama za sasa hapa nchini kila mwenye maendeleo aitwa fisadi, hii yakatisha tamaa watu kutafuta maendeleo.Utawala huu pia wajenga uadui kati ya wananchi na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.